Mohamed Salah ni Mchezaji wa kuchungwa sana EPL

Mohamed Salah ni Mchezaji wa kuchungwa sana EPL

PSG wameingia chaka kwa Neimar, pesa yote iyo wangemchukua Salah jamaa anafit kote kote tu. Nawashauri Valverde/Messi wamsajili huyu mwarabu ni mtu hatari sana. Sio wa kijipaka mipoda na kuvaa viheleni kama neimar. Pharaoh ni jitu la kazi bwana halijaenda kuuza sura
 
PSG wameingia chaka kwa Neimar, pesa yote iyo wangemchukua Salah jamaa anafit kote kote tu. Nawashauri Valverde/Messi wamsajili huyu mwarabu ni mtu hatari sana. Sio wa kijipaka mipoda na kuvaa viheleni kama neimar. Pharaoh ni jitu la kazi bwana halijaenda kuuza sura
Psg kama man u tu wote
Waliingia cha kike
Man u Kwa pogba na garasa
Tuoilowauzia Sanchez

Hao wote Shetan wao n mmoja
 
Kuna uwezekano mkubwa sana msimu ujao akatimkia BARCA au Real Madrid kama wataweza kupanda dau.

Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.

Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .

Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .

Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
 
Kuna uwezekano mkubwa sana msimu ujao akatimkia BARCA au Real Madrid kama wataweza kupanda dau.
Hivi kwanini EPL inashindwa kumiliki wachezaji wazuri ?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.

Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .

Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .

Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.

Huyo ndio MO SALAH.. Mkuu una maono makali sana!!!
 
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.

Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .

Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .

Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Bro nakuaminia, unaona mbali sana, maana huyu Farao ametoa mchango mkubwa sana kwa Liverpool
 
Back
Top Bottom