Mohammed Dewji afanya kikao na viongozi wa Simba.

Mohammed Dewji afanya kikao na viongozi wa Simba.

Tatizo na ugonjwa wa Simba ni huyo tapeli MO, aondoke yeye kwanza, aachie Simba aliyepora bure bure, wana Simba kokote mliko ingetakiwa kuandamana kumkataa huyo tapeli aliyeiba shares za Simba bure bure bila kulipa hata senti moja kwa kuhonga honga viongozi wa Simba wenye njaa
Uko sahihi,tatizo la Simba ni Mo, huwezi ukasema unatoa hela halafu hufaitilii timu halafu unasema unapata hasara,hakuna mkulima anaweka vibarua asiende kukagua shamba. Mo haumii kwa sababu hatoi hela
 
Masuala ya Simba yanapojadiliwa kwa uchungu na migongowazi.
Nyie si mna timu yenu hiyo obsession na Simba ni sharwala au ugonjwa mwingine?
 
MO ndio ungetakiwa umuulize how he acquired his 51% shares from Simba? 51% shares za Simba alitakiwa kulipa Tshs 20 bil hadi leo hajatoa hata senti moja, evidences ungemuuliza MO atoe kudhibitisha kalipa Simba hizo fedha au usikute na wewe ndio hujui kitu naongea na person with no knowledge ya mambo, navyosema kapora hizo 51% shares za Simba sbb hajalipa hata senti katika zile tshs 20 bil kama fedha za kununua hizo shares, evidences ni yeye MO kutoa kalipa wapi? Sbb hajalipa? Narudia usikute naongea na watu wenye akili za Kibashite humu, wenzanko wanajua kapora hizo shares, hata senti katika zile tshs 20 bil za Simba hajalipa.
Naaa bro nimekuuliza swali rahis? Naona bado una jaza maneno kibao. I know everything about uwekezaji, how shares works siitaji kufundishwa.

How Mo did acquire 51% ya team, hilo jibu wanalo viongoz waliokuwepo before Mo take over. Is why nikauliza? Maana the way umeblay allegation na as if una supportive evidence inayo mfunga mo. Kumbe na ww huna?
 
Unahangaika sana dogo kwa kuandamwa na roho ya umaskini kiasi kwamba unashindwa kusimamia mambo yenye tija kwa uzao wako.


Nikupe siri sasa....
Kuna fursa kubwa sana ya kuondokana na umaskini hapo April 20, kuna fursa ya kupiga hela ndefu ya khanjbay, tumia fursa hiyo kwa kubet kuwa amphibian atamoiga kono la nyani mnyama.

Hakika ndivyo itakavyo kuwa, weka million na utapata milioni 50 kisha utaagana na umaskini na hautatamani kumsimanga MO ama Mangungu kwa sababu hela unayo.

Changamkia fursa dogo.
NB: Kwenye hiki kikao sijamuona Mangungu na yeye ndio mwakilishi wa wanachama,sijui yeye hausiki kwenye maamuzi ya Club ila lawama ndio anabeba yeye.
 
Nimefanya kikao na viongozi wa Simba SC kujua changamoto zipo wapi na namna ya kuzitatua.

Kikao kimeenda vizuri.

NB: Kwenye hiki kikao sijamuona Mangungu na yeye ndio mwakilishi wa wanachama,sijui yeye hausiki kwenye maamuzi ya Club ila lawama ndio anabeba yeye.
Kitendo cha kumfanya Mangungu Mwenyekiti wa wanachama kuwa mpiga picha wa kikao chako sijakipenda.
 
Nimefanya kikao na viongozi wa Simba SC kujua changamoto zipo wapi na namna ya kuzitatua.

Kikao kimeenda vizuri.

NB: Kwenye hiki kikao sijamuona Mangungu na yeye ndio mwakilishi wa wanachama,sijui yeye hausiki kwenye maamuzi ya Club ila lawama ndio anabeba yeye.
Mwamedi kanjibai janja2 sana hapo kaweka bendera ya MO ya Mikia FC hola.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2964359
1: 🐸
2: 🐒
3: uto
4: majini
5: bakuli fc
6: gongowazi
7: wa madimbwini
8: yanga
9: endeleeni
 
Naaa bro nimekuuliza swali rahis? Naona bado una jaza maneno kibao. I know everything about uwekezaji, how shares works siitaji kufundishwa.

How Mo did acquire 51% ya team, hilo jibu wanalo viongoz waliokuwepo before Mo take over. Is why nikauliza? Maana the way umeblay allegation na as if una supportive evidence inayo mfunga mo. Kumbe na ww huna?
Badala yeye ndio a prove analazimisha anayemtuhumu a prove.
Sawa mpo mahakamani unasema 'hakimu fulani tapeli anadai kuwa anakula kwa bili hotelini na bili analipa mwisho wa mwezi kumbe halipi',aya toa ushahidi kuwa jamaa halipi bill ya mwisho wa mwezi.
Unaanza ku shout mwambie yeye athibitishe kama analipa bill ya mwezi.
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Aiseeee wacha nicheke.
Unaeshutumu ndio utoe ushahidi.
Ama ni uongo mkuu!?
 
Back
Top Bottom