Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Mohammed Dewji a.k.a Mo, amesema kikao walichokaa Septemba 21, 2021 kiliamua kwamba asiendelee kuwa Mwenyekiti wa Club ya Simba Sc kutokana na safari zake za kibiashara kuwa nyingi.

Hata hivyo amesema anaendelea kuwa mwekezaji katika klabu ya Simba huku akiahidi kushirikiana vizuri na viongozi watakaoendelea kuwepo.

Kwa sasa Kaimu Mwenyekiti ni Said Abdallah Muhene a.k.a Try Again ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba.
 
Nilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi nzuri, anaingiliawachezaji, anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi
 
nilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi mnzuri,anaingiliawachezaji,anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi

Sio kwamba anawekeza simba bila kuwa na maslahi. Kabla ya MO simba ilikuwepo na baada yake itakuepo.

Hakuna anayemchukia hata kwa anayoyafanya ila na yeye atambue simba ina mashabiki na wapenzi ambao hawezi kuwakwepa.

Kama hataki maneno aanzishe team mpya kabisaaaaa iwe mali yake binafsi

Maana kama anakereka atashindwa kuistawisha team na zaidi ataididimiza.... Angondoka kabisa ili wenye nia waingie na kufanya kazi na Simba
 
Back
Top Bottom