nilitegemea haya mda mrefu sana ,kwakuwa huyo moo sio kiongozi mnzuri,anaingiliawachezaji,anafukuza watu kazi nadhani mapenzi yanamchanganya sasasimba jiandaeni kuanguka tu hamna jinsi
Kemcho Anapenda sana KumbembelezwaBilioni 20 hivi aliweka kweli au tumepigwa msingida
View attachment 1956950
Mwamedi anataka kubembelezwa na Mikia ndiyo maana ana drama nyingi
Zitto hakuwa mpumbavu pale ACT kuwa kiongozi mkuu wa chama huku akitafuta mtu mwingine kuwa mwenyekitiHivi umesikiliza vizuri anasema nini kabla hujaropoka??
Kweli Luc Eymael hakukosea kabisa
tatizo la moo yupo pale kupiga pesa zakeajiuzulu kwa lipi hasa? kwa kutoa draw mechi ya kwanza ya ligi au kwa kungwa na yanga ngao ya jamii. yanga ambayo round ya awali ya caf champs imetolewa.