Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

Hizo ni hisia zako tu ,iwe za kweli au uwongo hamna uthibitisho wa hayo unayozungumza
 
simba imepigwa na moo kisomi,kajitoa kijanja kawaacha simba na mikataba ambayo simba hawatamfuatilia moo atakama kawapiga,maana mikataba ipo
 
moo kaondoka ili kuwafundisha bila yeye simba haisimami
 
Tuumie vipi? Sasa hatuumii?
Kwani alikuwako tangu kuumbwa kwa simba??
Shida ya mwanamke anafikiria kutumia hisia zitokazo moyoni badala ya akili itokayo bongoni!!
Je simba mliwahi kupata mafanikio makubwa kabla kama mliyoyapata kipindi mo dewji amewekeza!?
Ukiweza kujibu hili swali utaelewa nn namaanisha.
 
Utachekwa hata na utopolo wenzako, kwa hiyo humjui wala hujui kwa nini alipewa hiyo nick name? nina hakika hujui hata uwanjani kuna wachezaji wangapi wanacheza, yaani full hoyahoya
sasa story zake za nini hazinisaidii chochote maana sio baba wa taifa alafu nyie simba unajua vinzuri uwanjani kunawachezaji wangapi wawale watoto uliowasajili baada ya kuwauza waume wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…