Mohammed Dewji ajiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya simba, amteua Salim Abdallah (Try Again) kuchukua nafasi yake

A
Utachekwa hata na utopolo wenzako, kwa hiyo humjui wala hujui kwa nini alipewa hiyo nick name? nina hakika hujui hata uwanjani kuna wachezaji wangapi wanacheza, yaani full hoyahoya
mkuu acha na uyo chura lia lia amejaa matope kichwani mpira hajui anadandia mada tu
 
wewe unayejua mpira tumekuchapa kwa mkapa na bado mtakimbiza mabwana zenu mikia fc akili hamna kazi kudanganywa kama vident
Tatizo lako umezaa kabla ya siku zako kwa ile mimba ya kigoma ndio maana unahangaika sana kwangu utasanda mwenyewe kibwengo weew
 
Hapo mmenena afanye tu kama mwenzie mzee bakhresa yuko na azam yake saaafiii kabisa
 
Shida ya mwanamke anafikiria kutumia hisia zitokazo moyoni badala ya akili itokayo bongoni!!
Je simba mliwahi kupata mafanikio makubwa kabla kama mliyoyapata kipindi mo dewji amewekeza!?
Ukiweza kujibu hili swali utaelewa nn namaanisha.

Wewe acha kuumiaaaa. Mimi sijajadili maslahi nimejadili utaratibu

Uliona wapi mwenye 49% ya shares anafanya maamuzi kwa 51%

Jiongezage buana😂😂😂
 
Shida ya mwanamke anafikiria kutumia hisia zitokazo moyoni badala ya akili itokayo bongoni!!
Je simba mliwahi kupata mafanikio makubwa kabla kama mliyoyapata kipindi mo dewji amewekeza!?
Ukiweza kujibu hili swali utaelewa nn namaanisha.
Walipoenda robo fainali Mara ya kwanza Mo alikwepo?
 
Coment zote nilikuwa nasoma sielewi Ila wewe nimekuelewa tu.
Asante
 
Simba imetambulika sana kipindi kipi kat ya msimu ule na huu!?
Simba inajulikana tangu zamani hata enzi za kuwapiga Yanga 6-0 na 5-0 labda we mtoto wa 2000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…