Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Hawa nao ni bluffing nyingine
Au siyo?

2869192_Screenshot_2021-08-04-16-16-28-698_com.instagram.android.jpg
 
Mimi sijapenda MO anachofanya simba. Ila simba watakuwa mazezeta sana
 
Hivi karibuni tajiri Mohammed Dewji alipost kupitia tittwer yake kuonesha cheki ya Tshs Billion 20 kuikabidhi klabu ya Simba ikiwa ni malipo ya ununuzi wa hisa za Klabu hiyo kongwe nchini. Ikumbukwe cheki hiyo imekuja baada ya watani wa jadi wa Simba, klabu ya Yanga kuingia mkataba mnono na kituo cha AZAM.

Cheki hiyo inaonesha kasoro zifuatazo.

1.
Hakuna jina la benki wala akaunti ya mlipaji

2.
Hakuna jina la benki wala akaunti ya Klabu ya Simba

3.
Kwenye eneo la mpokeaji hakuna saini kuthibitisha kupokea kitita hiko. Lakini upande wa MO kuna saini

Nimeweka picha ya cheki hiyo ili Thinkers wa JF muweze kuzoom wenyewe na kuona hizo dosari.

Soka letu linaweza kufika mbali sana iwapo wajanja wajanja wakabainishwa na kuwekwa pembeni. Tunahitaji mabadiliko na mipango endelevu kwa ajili ya soka letu...View attachment 1879675 Dewji akikabidhi cheki

View attachment 1879666
Mara nyingi umekuwa ukiaibika kwa nyuzi bin nyuzi unazotuletea hapa ila kwa uzi huu kiboko!
Badala ya kujiita Msanii ingefaa ujiite Kilaza
 
1. Hakuna jina la benki wala akaunti ya mlipaji
2. Hakuna jina la benki wala akaunti ya Klabu ya Simba
3. Kwenye eneo la mpokeaji hakuna saini kuthibitisha kupokea kitita hiko. Lakini upande wa MO kuna saini
Dewji akikabidhi cheki

Mkuu, hivi upo serious kabisa kwamba hiyo ndiyo hundi watakayoipeleka benki kuchukulia fedha? 🤣🤣🤣
 
Kwenye hiyo hundi haina tatizo maana ni mfano tu sababu hiyo haitoki bank bali anatengeneza mwenyewe tu ila uwekezaji wa mo simba una maswali sana ukitaka kuuliza utaambiwa unataka kuihujimu watu wamepagawa na pila biriani
 
hahahah ya wezekana mo kafanya ujanja....ila kwa wew kutumia hiyo mfano wa hundi kama kigezo daaahh umenifanya nicheke asubuh yote hii[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom