Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Mimi sijapenda MO anachofanya simba. Ila simba watakuwa mazezeta sana
 
Mara nyingi umekuwa ukiaibika kwa nyuzi bin nyuzi unazotuletea hapa ila kwa uzi huu kiboko!
Badala ya kujiita Msanii ingefaa ujiite Kilaza
 
1. Hakuna jina la benki wala akaunti ya mlipaji
2. Hakuna jina la benki wala akaunti ya Klabu ya Simba
3. Kwenye eneo la mpokeaji hakuna saini kuthibitisha kupokea kitita hiko. Lakini upande wa MO kuna saini
Dewji akikabidhi cheki

Mkuu, hivi upo serious kabisa kwamba hiyo ndiyo hundi watakayoipeleka benki kuchukulia fedha? 🤣🤣🤣
 
Kwenye hiyo hundi haina tatizo maana ni mfano tu sababu hiyo haitoki bank bali anatengeneza mwenyewe tu ila uwekezaji wa mo simba una maswali sana ukitaka kuuliza utaambiwa unataka kuihujimu watu wamepagawa na pila biriani
 
hahahah ya wezekana mo kafanya ujanja....ila kwa wew kutumia hiyo mfano wa hundi kama kigezo daaahh umenifanya nicheke asubuh yote hii[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…