NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Katiba Mpya itasimamia MAFISADI wasiingize Michele na sukari vilivyo chini ya kiwango kama wakati ule miaka ya tisini!!!
Pia itawachukulia hatua kali za kinidhamu WATU kama mtajwa KWA kuhatarisha usalama wa watumiaji KWA faida Binafsi kamaa alivofanya mtajwa kwenye uzi Huu!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!