Mohammed Dewji vs S.S Bakhressa

mwanamke wa mikoani,nini tatizo,mbona unakuwa mgumu kunielewa?.
Kadoda11 hapa sasa unaonekana kuishiwa hoja sasa. Screpa amekunyooshea maelezo vizuri tu na kukupa swali sensible. Mjibu basi mbona unaanza kupanic na kuvurumisha lugha za kejeli?
 
Wadau kuna tetesi Yale malori ya Mo yaliyopigwa moto na waasi kule Kongo ni kwa sababu ya chuki za kibiashara .....? Mo namkubali sana huyo jamaa alivyofanya ubunifu kwenye biashara ya maji ya chupa nilimpigia saluti...very creative
Malori yalikuwa ya Azim Dewji mwingine SIO Mohamed Dewji wa MOETL
 
Kadoda11 hapa sasa unaonekana kuishiwa hoja sasa. Screpa amekunyooshea maelezo vizuri tu na kukupa swali sensible. Mjibu basi mbona unaanza kupanic na kuvurumisha lugha za kejeli?
Kama umefatilia mtiririko wa comment zangu nilizokuwa namjibu,bila shaka utagundua muhusika alinielewa,ila labda alikuwa tu anataka tuendeleze utani wa hapa na pale ktk mnakasha.

eti nipanic?!!...hapana mkuu....nipanic kwa kuitana majina ya utani kama "mwanaume wa dar" na Mimi kumuita yeye "mwanamke wa mikoani?".
 
mdau,in case kama hujui acha nikufamishe.

huo ugali na maharage uliokula mpaka ukavimbiwa huko mkoani ulikojichimbia,ukapata nguvu ya kuja kukomenti JF,unga wa huo ugali,umetokana na either bakharesa au Azania sembe.wote hao ni wanaume wa dar.
Mwanaume wa Dar anaposifia wanaume wengine wa Dar teh teh
 
Hizi story za kulinganisha matajiri huwa ni zakijiweni, na mwisho wa siku hakuna faida unayopata
 
Mo mbali na hizi biashara tunazozifahamu sisi ana investment nyingi sana katika world stock market, special in commodities.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…