Huyu anatakiwa Mirembeafya ya akili imekua ni janga kwa hii nchi
kuna machizi mengi, na yameaminiwa yakapewa ofisiHuyu anatakiwa Mirembe
Kada mtiifu.Anaipa serikali miezi minne akiwa kama nani?
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuView attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Ni kweli.Huyu ametumwa Tu kuna watu wapo nyuma yake, watanzania wanashindwa kuelewa naona wengi wanamlaumu bila kujua kuwa akina NAPE wenyewe wapo nyuma yake....huyu CHAMBO Tu
Sio kwamba wanatumiwa na kina Nape kwa mlango mwingine?View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Kazi ipo sana this is africa black continentCCM kuna vichaaa wengi sana sana, nikajua wanaipa CCM miezi minne kuondoa kero za wananchi