Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X

Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
GSv4wtkWMAARzxi.jpg

''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''

Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida

Pia soma
 
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''

Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida

Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Huyu ametumwa Tu kuna watu wapo nyuma yake, watanzania wanashindwa kuelewa naona wengi wanamlaumu bila kujua kuwa akina NAPE wenyewe wapo nyuma yake....huyu CHAMBO Tu
 
Huyu ametumwa Tu kuna watu wapo nyuma yake, watanzania wanashindwa kuelewa naona wengi wanamlaumu bila kujua kuwa akina NAPE wenyewe wapo nyuma yake....huyu CHAMBO Tu
Ni kweli.

Lakini kutokana na upeo wao kuwa Mdogo, hawasemi sababu za kwa nini wanaona Mtandao wa Twitter ( X) unapaswa kufungwa hapa Tanzania.

Tatizo siyo Twitter Bali tatizo ni Mange Kimambi pamoja na wakosoaji wenzake.
 
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''

Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida

Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Sio kwamba wanatumiwa na kina Nape kwa mlango mwingine?
 
Mnataka kufungia product ya Marekani, mna ubavu wa kushindana akifanya comeback?
 
Back
Top Bottom