Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839



Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.

Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.

Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.

Mashamba yamekufa na yameotea vichaka. Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.

Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.

Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.

1735805193384.png

Mbunge wa sehemu hii ndg. Anton Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
 
Sijui serikali itajifunza lini juu ya hawa matapeli.
Serikali huwa haijifunzi bali inawajibishwa itekeleze wajibu wake. Serikali ni mtumishi wa mshahara aliyepewa kazi ya kuendeleza hiyo rasilimali. Anaweza hata kushirikiana na matapeli kuhujumu.

Ni mwenye rasilimali ndio anatarajiwa kusikia uchungu anapoona mali yake inavyochezewa na kuchukua hatua stahiki.
 
Zoezi la ubinafusishaji liliendeshwa kihuni na hata marehemu Mkapa alikiri kuwa alikosea alivyosimamia. Mutex imekuwa Kama gofu hakuna kilichofanywa, chibuku iliyokuwa miongoni mwa walipa Kodi wakubwabimeuliwa.
Halafu serikali inajigamba kuzalisha ajira za bodaboda.
 
View attachment 3187568
View attachment 3187580

Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.

Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.

Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.


Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
Mitano Tena
 
View attachment 3187568
View attachment 3187580

Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.

Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.

Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.


Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
Mtu mashamba kayanunua kwa hela yake

Alime asilime serikali inamuhusu nini?

Mali ni zake sio za serikali

Wananchi wajue na wajifunze "private property" ni nini na "public property" ni nini

Wananchi ni majitu majinga sana yaani,yenyewe yanadhani kila mali ni yao binafsi au ni mali ya serikali they can amua anything,mbuzi wa maziwa kabisa

Kama mnataka mashamba ya chai ya kwenu then fyekeni mapori muanzishe,sio mashamba ya mtu binafsi

Motherfvckers kabisa!
 
Mtu mashamba kayanunua kwa hela yake

Alime asilime serikali inamuhusu nini?

Mali ni zake sio za serikali

Wananchi wajue na wajifunze "private property" ni nini na "public property" ni nini

Wananchi ni majitu majinga sana yaani,yenyewe yanadhani kila mali ni yao binafsi au ni mali ya serikali they can amua anything,mbuzi wa maziwa kabisa

Kama mnataka mashamba ya chai ya kwenu then fyekeni mapori muanzishe,sio mashamba ya mtu binafsi

Motherfvckers kabisa!
Usiwe mjinga kama zezeta. Mali ya umma haikuuzwa without terms and conditions.
Na terms za kuuza hayo mashamba ni kuyaendeleza, kudumisha ajira na kukuza uchumi wa kilimo.
Usifiri wote ni mazezeta kama ulivyo.
 
Back
Top Bottom