masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #21
Hebu hilo kamwambie kibarua kule kijini aliyekosa ajira.Mitano Tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu hilo kamwambie kibarua kule kijini aliyekosa ajira.Mitano Tena
Kuna terms and conditions .Kama alinunua ana haki ya kuyafanyia atakavyo.
Haswaa ,MO anahujumu uchumi wa wilaya Rungwe.Kwa lugh rahisi MO anahujumu uchumi.
Mkuu hivi unajiongelea sababu unaongea?Usiwe mjinga kama zezeta. Mali ya umma haikuuzwa without terms and conditions.
Na terms za kuuza hayo mashamba ni kuyaendeleza, kudumisha ajira na kukuza uchumi wa kilimo.
Usifiri wote ni mazezeta kama ulivyo.
Magufuli alikua ana washughulikia mkamuita mkatili na shetani, Mo si ndiye aliyekopea mapesa Benki za Ulaya na kuweka dhamana Mashamba ya mkonge kule Tanga.Sijui serikali itajifunza lini juu ya hawa matapeli.
Ngawira zimewekezwa kwenye soka kwa waamuzi, wachezaji pinzani ili kuwapa furaha wapenzi wa ile timu!View attachment 3187568
View attachment 3187580
Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.
Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.
Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.
Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
Tuamke gharama za kilimo ziko juu mno,angalieni sana kinachoendelea ktk.miradi ya watu maskiniSijui serikali itajifunza lini juu ya hawa matapeli.
So?Tuamke gharama za kilimo ziko juu mno,angalieni sana kinachoendelea ktk.miradi ya watu maskini
Serikali inabidi ijifunze kutowaenzi wahujumu uchumi.Magufuli alikua ana washughulikia mkamuita mkatili na shetani, Mo si ndiye aliyekopea mapesa Benki za Ulaya na kuweka dhamana Mashamba ya mkonge kule Tanga.
Weka hapa documents za masharti hayoUsiwe mjinga kama zezeta. Mali ya umma haikuuzwa without terms and conditions.
Na terms za kuuza hayo mashamba ni kuyaendeleza, kudumisha ajira na kukuza uchumi wa kilimo.
Usifiri wote ni mazezeta kama ulivyo.
Umasikini wa watanzania kama ninyi uko katika akili.Mkuu hivi unajiongelea sababu unaongea?
Mali ya umma tangu lini mkuu?
Mali ilikua yako,umeuza,umiliki wako unakoma hapo hapo
Hivi nyie wananchi masikini lini mtakua na akili ya transfer of property?
Ushauza shamba eti unarudi nyuma kumuelekeza cha kufanya,ulizia nini?
Hakuna cha "Terms and Conditions" tena,ungekua unalitaka sana usingeuza,
Ukishauza umelipwa ndio umiliki wako unakomea hapo hapo na mdomo wako unafungia hapo hapo
Mkataba wowote wa mauzo wenye "terms and conditions" ni directly hakuna mtu atanunua hilo shamba heri ubaki nalo uendeleze umatako wako nalo
Hakuna private company inakuja kununua mali halafu unaweka "terms and conditions" za uwezo wa wewe tena muuzaji kurudi nyuma kuja ku-dictate terms za uendeshaji wa hayo mashamba,hakuna ms3ng3 yeyote anakubali huo umatako
Kama unataka hiyo power ni heri usiuze,na ukitaka kuuza kwa kuweka hiyo power hakuna atakaenunua huo ujinga wa kijamaa
Niteue kuwa waziri wa Mipango na Uwekezaji, niweke mambo sawa.Weka hapa documents za masharti hayo
Ameshachukulia mkopoView attachment 3187568
View attachment 3187580
Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.
Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.
Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.
Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
Sio wakalale,waje na mpango B wa tatizo hiloSo?
Watu wakalale tu?
Kama ingekuwa rahisi umma wenyewe ungeendeleza.Kuna terms and conditions .
Ukinunua mali ya umma, na wengine wala hawakutoa pesa kamili, masharti ni kuendeleza uchumi, si kuhodhi mashamba yanayogeuka vichaka.
Tumieni simu nzuri zenye camera nzuri. Wala siyo ghali.View attachment 3187568
View attachment 3187580
Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.
Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.
Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.
Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea