Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Lakini si umeona?Tumieni simu nzuri zenye camera nzuri. Wala siyo ghali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini si umeona?Tumieni simu nzuri zenye camera nzuri. Wala siyo ghali.
Hii si sababu ya kutelekeza mashamba. MO anafanya economic sabotage.Tuamke gharama za kilimo ziko juu mno,angalieni sana kinachoendelea ktk.miradi ya watu maskini
Kwanini aliuziwa in first place,sababu tija Iko chini kuliko gharama,bustani ni gharama mno Tz,sababu majority ya vitu vinatoka njeHii si sababu ya kutelekeza mashamba. MO anafanya economic sabotage.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe amka toka usingizini.
Aliuziwa kwa sababu alisema ataweza kutekeleza vigezo na masharti.Kwanini aliuziwa in first place,sababu tija Iko chini kuliko gharama,bustani ni gharama mno Tz,sababu majority ya vitu vinatoka nje
Umeuliza kwanini Mo sababu ya kufanya hivyoHii ndiyo shida ya wawekezaji wajanja wajanja na wababaishaji. Na hapo lazima ameshayawekea dhamana kwa ajili kujipatia mikopo ya mabilioni, kama alivyofanya kwenye yale mashamba mengine!
Unataka niulize nini?Umeuliza kwanini Mo sababu ya kufanya hivyo
Kwanini mo ameyapotezea hayo mashamba?Unataka niulize nini?
Maelezo yangu ya awali yamejitosheleza. Hivyo sina sababu ya kuuliza.Kwanini mo ameyapotezea hayo mashamba?
Wameshakopea benki kwa shughuli nyingine😂😂😂😂Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima b
Mashamba yarudishwe kwa wananchi.Wameshakopea benki kwa shughuli nyingine😂😂😂😂
Tarehe 31 nilikuwa Katumba nilishangaa kuona mashamba yaliyikuwa yanapendeza hivi sasa yamevamiwa na vichaka, ushauri hayo mashamba wapewe maliasili ili yatunzwe kama misitu.View attachment 3187568
View attachment 3187580
Kama ilivyo ada, nimetembelea kwetu Xmas hii ili kuona mandhari na uzuri wa Rungwe, kwetu.
Kilichonisikitisha ni Chivanjee Tea Estate kuanza kufa kwa kukosa matunzo.
Waziri wa Kilimo ndg Bashe aingilie kati haraka, MO aachilie mashamba ya chai kule Jivanjee Chivanjee Tea Estate, Tukuyu.
Mashamba yamekufa na yameotea vichaka.
Kazi na vibarua kwa wananchi wa karibu zimepotea.
Ulafi wa kumiliki ardhi na mashamba nchi nzima bila kuwa na uwezo wa kuyaendeleza ,tunaona kwa macho.
Upande wapili mashamba yanayo milikiwa na wakulima pale Kyimbila yako hali nzuri kabisa.
Nimeweka clip zote mbili, Jivanjee Tea Estate iliyotelekezwa na Mohammed Enteprises(MO), Wakulima Tea Estste inayoendelea kutunzwa na wananchi.
Mbunge wa sehemu hii ndg. Mwantona ni bubu, hajui hata kinachoendelea
Ni uhujumu uchumi wa MO kwa wananchi wa Rungwe.Tarehe 31 nilikuwa Katumba nilishangaa kuona mashamba yaliyikuwa yanapendeza hivi sasa yamevamiwa na vichaka, ushauri hayo mashamba wapewe maliasili ili yatunzwe kama misitu.
Bashe, CCM na serikali yao hawaijui Rungwe, wao wanaijua Geita na Dodoma ambako wanamaslahi nako, wangeijua wasingeanzisha mashamba ya hovyo Dodoma.Ni uhujumu uchumi wa MO kwa wananchi wa Rungwe.
Na Wizara ya Kilimo utafikiri haina muwakilishi katika wilaya ya Rungwe, moja ya wilaya inayosifika kwa kilimo.
Mwanzoni na katikati ya miaka ya tisini huku kulikuwa kama paradiso enzi hizo haya mashamba yakiwa chini ya mwekezaji George Williamson (T) Tea Co., Ltd palichangamka sana na uchumi ulikuwa vizuri namkumbuka Mjomba wangu Mwaijande RIP alikuwa dereva wa lori Isuzu Injection TX mambo yalikuwa bambam siku hizi nasikia watu wote almost wamefutwa kazi viwanda vya Msekela na Chivanjee vimefungwa hakuna uzalishaji hata wakulima wadogo waliokuwa wanauza chai hapo kwake siku hizi wameotesha fito. Sad. Waziri Bashe aingilie kati tuuze chai watu wetu waneemeke!Hii ndiyo shida ya wawekezaji wajanja wajanja na wababaishaji. Na hapo lazima ameshayawekea dhamana kwa ajili kujipatia mikopo ya mabilioni, kama alivyofanya kwenye yale mashamba mengine!
Dah atafutwe mwekezaji mwingine kama imeshndikanaMwanzoni na katikati ya miaka ya tisini huku kulikuwa kama paradiso enzi hizo haya mashamba yakiwa chini ya mwekezaji George Williamson (T) Tea Co., Ltd palichangamka sana na uchumi ulikuwa vizuri namkumbuka Mjomba wangu Mwaijande RIP alikuwa dereva wa lori Isuzu Injection TX mambo yalikuwa bambam siku hizi nasikia watu wote almost wamefutwa kazi viwanda vya Msekela na Chivanjee vimefungwa hakuna uzalishaji hata wakulima wadogo waliokuwa wanauza chai hapo kwake siku hizi wameotesha fito. Sad. Waziri Bashe aingilie kati tuuze chai watu wetu waneemeke!