Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

Dah atafutwe mwekezaji mwingine kama imeshndikana
Nakumbuka nilisoma shule ya msingi Masebe miaka hiyo watoto wa mameneja wa hayo mashamba ya chivanjee na msekela walikuwa wanakuja shule kwa landrover 110 country...tukawa tunaenda kuangalia ndege ya mwekezaji ikitua Ngujubwaje ikitokea Kenya...kwamba mashamba yamebaki vichaka hii inasikitisha sana na mnada wa chai tumeuleta Tz kutoka Mombasa hafu chai inaharibikia porini!!
 
Nakumbuka nilisoma shule ya msingi Masebe miaka hiyo watoto wa mameneja wa hayo mashamba ya chivanjee na msekela walikuwa wanakuja shule kwa landrover 110 country...tukawa tunaenda kuangalia ndege ya mwekezaji ikitua Ngujubwaje ikitokea Kenya...kwamba mashamba yamebaki vichaka hii inasikitisha sana na mnada wa chai tumeuleta Tz kutoka Mombasa hafu chai inaharibikia porini!!
Dah mwisho wa siku pamekuja kuwa hivyo, hapo watu kibao wamepoteza ajira.
 
Pesa za kienseleza mashamba amewwkeza kuhakikisha 5imba anashinda mechi zake kwa.kuwaonga wachezaji wa timu pinzani, marefa na makocha.
 
Achaneni na nambo ya kupanda
Chai
Kahawa
Katani
Psndeni
Mahindi
Matunda
Mihogo
Nj
Wazungu waliwapandia makatani halafu bei wanapanga wao. Wasiponunua hizo katani mtazila.
 
Back
Top Bottom