James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hahaaa! Labda sikuwa na akili nyingi za kujua nani real na nani mbabaishaji. Mi nilikuwa nasoma soma tu hahaaaWhite alikua mbabaishaji kishenzi...Fizo alikua anajua sema maringo mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa! Labda sikuwa na akili nyingi za kujua nani real na nani mbabaishaji. Mi nilikuwa nasoma soma tu hahaaaWhite alikua mbabaishaji kishenzi...Fizo alikua anajua sema maringo mengi.
Vic we ni daktari?Karibu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naam. Mkandawile nilimsikia. Mimi nilikuwa na Abdulla kwa Chemistry. Vipi unafanya kazi hospitali gani?
Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa..
Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale mchikichini..
MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER . .
MwandegeInnalillahi wainna illayhi rrajiuun....
Daah So Sad...msiba uko wapi?!!
MwandegeMsiba utakuwa wapi Mkuu.?
Magomeni.?
Simfahamu huyu jamaa wala sijawahi kumsikia.Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:
Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER.
Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeni dunian hyu mtabe aliyewafanya baadhi ya watu kuwa tulipo hvi sasa.
Innallillah wainnallilah raajuni
Uzi kuhusu maisha na waalimu wa Mchinikichini
Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo
Hivi mtegetwa na Sir White Man Complex nani mkali? Mtegetwa mtu mbaya wewe amenitolea B ya geography olevalwww.jamiiforums.com
Kwa nini mitihani walikuwa wanatulipisha, tuition fee kazi yake nini?R.I.P aisee inapain sana .... nimepiga pindi kwake za physics Advance na alikua anatoa mapepa tunashindana 5 bora wanapiga next exam bure... alinifanya nikapotea xul miezi 6 nakomaa mchikichini. hakika MUNGU akupumzishe kwa aman mtaalam.
Commissioner alikuwa special for Junior & Amature, anakupa concept na anakufundsha nma ya kutactle problem, Mambo ya notes ndio maana Kuna vitabu Ving, UP, Nelkon, R.ManC, Chandy nkTatizo lake alikua hajui kuandaa notes. Alikua anakimbizwa sana na kina Saudi Mgote, Mtiga.
Ahsante sana!Karibu.
Alikua hajui kuandaa notes.Commissioner alikuwa special for Junior & Amature, anakupa concept na anakufundsha nma ya kutactle problem, Mambo ya notes ndio maana Kuna vitabu Ving, UP, Nelkon, R.ManC, Chandy nk
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]CommissionerView attachment 1624594
Kwa post hii na nyingine iliyosema amekufa ghafla basi tuendelee kujikinga sana. R.I.P mwalimu wa vijana wetu. Hatutaki kusisitiza kujihami tunabaki kujimwambafai eti Tulisali. Ni kweli Mungu ametusaudia mno lakini msisitizo uendelee. Bado watu wanaangamia huko mtaani. Mungu tunusuru na 2nd Wave imeanza kwa kasi huko kwa wenzetu.Ni confirmed nimeulizia wanasema alikuwa anasumbuliwa na kifua na kwikwi, maziko kesho mwandege saa 7 mchana, RIP.
Electronics yake ilikua kichwani aisee yoteSikumbuki, mgote nilimtumia kidogo tu mechanics, modern yake sikuitumia. Vitabu vingi modern physics ilikuwa haijaandikwa vizuri..yale manuclear reactor n.k..so nikawa nasoma tu desa la muddy juujuu