mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huyo labda anataka mtoto wake aje kuwa mkata mauno....Kwa hiyo wote tuwe kama akina Mondi? Unaita elimu utumwa cha ajabu watoto wako umewapeleka shule baada ya kuwaacha nyumbani,ukiumwa unaenda hospitalini sasa sijajua huko hospitalini unatibiwa na Mondi.
Ndomana mitoto sahv wako kibroiler delicious
Ova