TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

Kwa sababu ya huyu mwamba niliielewa sana Mechanics, Mungu amlaze pema
 
Yan lile eneo la mchikichini mabondeni ni eneo bovu sana uhuni na uteja umejaa kule lakin kumesaidia watu wengi sana lile eneo kutokana na kuwepo kwa walimu wa mapindi mbalimbali mfano Hidden,Mbuga,Osama,Jerry,White,Muddy,Mtatuzi nk so kuna haja ya kwenda kurudisha tulicho kipata kule mchikichini.
R.I.P mkali wetu wa Physics
 
Baaada ya kupiga sana Mapindi ya O'level miaka hiyo kwa Moddy physics,nikarudi mkoani sasa nikawa naikung'uta physics kisawa sawa,,,,,,daaaah nikabatzwa jina wakawa wananiita 'ZE YOUNG COMMISSIONER' hakika aliturahisishia mambo huyu jamaaa,yaani unijua physics mpaka unaona uvivu kusoma pepa likikaribia tena kwa jeuri,unasoma kiswahi hatakama kesho kuna physics na kiswahili ila wewe una toboa na kiswahili

Nimefundisha watu.wengi sanaaa(nakumbuka nishawahi kuandika uzi humu wa kumsifu huyu jamaa),mpaka hata wakati nachukua degree yangu ya kwanza,mpaka watu wanauliza wewe Dimatteo mbona unafundisha tuzheni PHYSICS TU na unasoma mambo ya afya kwann usipige bios na chemia.....hahahahahahaha kumbe hawajui kuna mbegu nilipandikizwa ambayo isiyokufa.....HAKIKA HUYU MTU ALIFANYA MENGI YALIYO MEMA,R.I.P MAESTRO
 
Hakunifundisha lakini nilizitumia sana notes zake.Apumzike kwa amani
 
Rip legend... kwa sie tuliokuwa kajamba nani... Hawa ndo walikuwa walimu wetu na wale wa shuleni ndo walikuwa walimu wa Tuition..
Na wakijua unaenda mchikdown full kukuMaindi
 
Mimi nilisoma HKl but wana walikiwa wananipq habari zake tu.
 
Mohamed Ngaola.

His Educational background includes:-

-Primay education manzese dar es salaam.

-O level education azania secondary 1991-1994.

-Advanced kibaha seconday 1995-1997.

-Civil engenering university of dar es salaam 1998-2000.

-Programing USA International university 2000-2004.

He worked in different companies in USA.

-Quality assurance officer USA compaq presario 2001.

-Arima electronics USA 2002.

He was also employed as full time Teacher in diffrent schools at different time as follows.

-Msolwa secondary.

-Mkandawile secondary.

-Ilala islamic 2018.

-Golden secondary school.

-Mchikichini centre 1997 to date
Dec,2003 mudy anarudi marekani anatufundisha physics nyuma ya klabu ya yanga mchikichini kule . Electromagnetism, electronics kipindi hicho. Pumzika kwa amani commissioner
 
Daaaahh. Tunatofautiana mno katika uelewa. Mimi nilikuwa nafanya upendo kwa waalimu wangu wote wa Primary School Kijijini kila nikienda nilikuwa nawatembelea wakiwa kama wastaafu na walipofariki nikishiriki kikamilifu. Wamebaki 4 ni wazee na ninawakumbuka kwa chochote. Bahati mbaya wa Secondary sina connections nao ila hakika kuna ambao ningestahili kuwapa Asante. Kumbuka hao walikuwa wanalipwa mshahara na pension lakini ninakumbuka waliokonitoa na uwezo niko nao kwa sasa hivi. Bila wao I was to be nothing. Hivi nikiwapa mfano 200,000 kila say Christmas ambayo haifiki hata 1m kwa hao 4 waliobaki hizo Baraka watanitemea unafikiri nitakaa nipungukiwe? Tumebaki tu kudanganywa na akina Gwajima tunawapelekea misadaka wanunue ndege na helicopter unasahsu aliyekuwrzesha kufika tulipo. Hata wazazi wawe na pesa ngapi lakini hawawezi kuwa waalimu wako hivyo the first and foremost gratitude kwa DUNIANI ni Mwalimu. Kwa Ujumla wake ni Mungu.

Ubarikiwe sana sana [emoji120][emoji120][emoji120]. Haya ndio mambo ya kukumbushana. Nimepata kitu hapa leo.
 
Hahaha nlikuwa namuziaga calculator scientific za kunjuga tu usomi wapi bwana sisi wengine wazee wa mitkasi tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
[emoji23][emoji1787]
We jamaa huwa unanichekesha sana
 
Back
Top Bottom