Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKuna mwaka fulani osama alikua ana harisha kinoma sijui alikua na tatizo gani kiafya
Kumbe mjinga,watu wanaona gari kitu cha maana sanaHapo mwenyewe umejiona bonge la mjanja sio!
Na mmRIP Mwalimu mwenzangu.
It's likely all jf teached by him. Akifufuka lazima nimpe huu uzi au proof haki. Yaani wote humu mumesoma science ila mimi tu.
Mwalumu unaniangushaRIP Mwalimu mwenzangu.
It's likely all jf teached by him. Akifufuka lazima nimpe huu uzi au proof haki. Yaani wote humu mumesoma science ila mimi tu.
Makuzi sana Jamaa huyu "prepacheeeeee"R.I.P Bro...
Ila sikuwahi kupiga pindi kwa huyu jamaa, Physics nilikuwa nakata mapindi kwa Man Chipa....
AiseeNi confirmed nimeulizia wanasema alikuwa anasumbuliwa na kifua na kwikwi, maziko kesho mwandege saa 7 mchana, RIP.
Umeona eee unaeza sema anakulia mia3 yako tu, ila nilikuwa nakomaa na notes zake zilizokuwa simplified!Makuzi sana Jamaa huyu "prepacheeeeee"
Dec,2003 mudy anarudi marekani anatufundisha physics nyuma ya klabu ya yanga mchikichini kule . Electromagnetism, electronics kipindi hicho. Pumzika kwa amani commissionerMohamed Ngaola.
His Educational background includes:-
-Primay education manzese dar es salaam.
-O level education azania secondary 1991-1994.
-Advanced kibaha seconday 1995-1997.
-Civil engenering university of dar es salaam 1998-2000.
-Programing USA International university 2000-2004.
He worked in different companies in USA.
-Quality assurance officer USA compaq presario 2001.
-Arima electronics USA 2002.
He was also employed as full time Teacher in diffrent schools at different time as follows.
-Msolwa secondary.
-Mkandawile secondary.
-Ilala islamic 2018.
-Golden secondary school.
-Mchikichini centre 1997 to date
Daaaahh. Tunatofautiana mno katika uelewa. Mimi nilikuwa nafanya upendo kwa waalimu wangu wote wa Primary School Kijijini kila nikienda nilikuwa nawatembelea wakiwa kama wastaafu na walipofariki nikishiriki kikamilifu. Wamebaki 4 ni wazee na ninawakumbuka kwa chochote. Bahati mbaya wa Secondary sina connections nao ila hakika kuna ambao ningestahili kuwapa Asante. Kumbuka hao walikuwa wanalipwa mshahara na pension lakini ninakumbuka waliokonitoa na uwezo niko nao kwa sasa hivi. Bila wao I was to be nothing. Hivi nikiwapa mfano 200,000 kila say Christmas ambayo haifiki hata 1m kwa hao 4 waliobaki hizo Baraka watanitemea unafikiri nitakaa nipungukiwe? Tumebaki tu kudanganywa na akina Gwajima tunawapelekea misadaka wanunue ndege na helicopter unasahsu aliyekuwrzesha kufika tulipo. Hata wazazi wawe na pesa ngapi lakini hawawezi kuwa waalimu wako hivyo the first and foremost gratitude kwa DUNIANI ni Mwalimu. Kwa Ujumla wake ni Mungu.
Leo wanajf wote wamesoma advanced physics dah.
Na Mimi mkuu[emoji23]Ambao hatuna degree au kwenda chuo humu mm na wewe humu jf [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
[emoji23][emoji1787]Hahaha nlikuwa namuziaga calculator scientific za kunjuga tu usomi wapi bwana sisi wengine wazee wa mitkasi tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova