Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Ni kama vile vile makhalifa wa kiislamu walivyoeneza utumwa bara asia!!!Au wewe hujui hilo kaka???

Kwa Nini Wakristo Wengi Sana Waliunga Mkono Utumwa?



Wakristo wengi wazungu waliona kwamba utumwa, kulingana na maneno ya kasisi mmoja Mbaptisti, “husimama kuwa taasisi ya Mungu.”

Hapa kuna baadhi ya hoja za kawaida zilizotolewa na Wakristo wakati huo:


Sababu za Kibiblia



• Ibrahimu, "baba wa imani," na wazee wote wa ukoo walishikilia watumwa bila kibali cha Mungu (Mwa. 21:9–10).


• Kanaani, mwana wa Hamu, alifanywa mtumwa kwa ndugu zake (Mwa. 9:24–27).


• Amri Kumi zinataja utumwa mara mbili, kuonyesha kuukubali kabisa kwa Mungu (Kut. 20:10, 17).


• Utumwa ulikuwa umeenea katika ulimwengu wote wa Kirumi, na bado Yesu hakuupinga kamwe.


• Mtume Paulo aliamuru hasa watumwa kuwatii mabwana zao (Efe. 6:5–8).


• Paulo alimrudisha mtumwa aliyetoroka, Filemoni, kwa bwana wake (Filem. 12).

Sababu za Uinjilisti

• Utumwa huwaondoa watu kutoka katika tamaduni za “kuabudu shetani, kufanya uchawi, uchawi” na maovu mengine.

• Utumwa huleta wapagani katika nchi ya Kikristo ambapo wanaweza kusikia injili. Mabwana Wakristo hutoa mafundisho ya kidini kwa watumwa wao.

• Chini ya utumwa, watu hutendewa kwa wema, kama wageni wengi wa kaskazini wanavyoweza kuthibitisha.

• Ni kwa manufaa ya wamiliki wa watumwa kuwatendea vyema watumwa wao.

• Watumwa wanatendewa kwa ukarimu zaidi kuliko wafanyakazi katika viwanda vinavyokandamiza vya kaskazini.



Sababu za Kijamii

• Kama vile wanawake wameitwa kuchukua nafasi ya chini (Efe. 5:22; 1 Tim. 2:11–15), vivyo hivyo watumwa huwekwa na Mungu mahali pao.

• Utumwa ni njia ya Mungu ya kulinda na kutoa kwa ajili ya jamii duni (kuteseka "laana ya Hamu" katika Mwa. 9:25 au hata adhabu ya Kaini katika Mwa. 4:12).

• Kukomeshwa kungesababisha maasi ya watumwa, umwagaji damu, na machafuko. Fikiria “utawala wa ugaidi” wa umati wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa.


Sababu za Kisiasa

• Wakristo wanapaswa kutii mamlaka za serikali, na mamlaka hizo zinaruhusu na kulinda utumwa.

• Kanisa linapaswa kuzingatia mambo ya kiroho, si ya kisiasa. ( Usichanganye dini na siasa kama tunavyoambiwa na CCM )

• Wale wanaounga mkono kukomeshwa ni, katika maneno ya James H. Thornwell, "wasioamini Mungu, wasoshalisti, wakomunisti ."
 
Kwa Mohamed Said unapoteza muda tu.

Huyo kwanza ni mzee, na Mzee huwezi kumbadilisha akili yake.

Na pili ni Muarabu Mweusi huyo. Ukitaka kuwajua vizuri waarabu weusi nenda Sudan. Kisa cha Sudani kuvunjika na kuzaa Sudani Kusini ni hao waarbu weusi wa Sudani.

Ngozi zao ni nyeusi, na wakati mwingine ni nyeusi tii kabisa, lakini wameuvaa uarabu kindakindaki kupitia dini ya Uislam. Huwaambii kitu kuhusu Mwarabu.

Huyo ndo Muhamed Said. Yeye kichwani mwake haoni utumwa, bali anaona ujio wa Uislam kwa sisi wa ngozi nyeusi kwamba ni jambo la heri na la baraka. Yeye haoni shida nchi ikiwa chini ya Mwarabu. Anachojali kuliko vyote ni Uislam. Mwafrika akiwa mtumwa wa Mwarabu ilimradi ni Muislam kwa Mohamed Said haina shida.
 
Kaka ushatoka kwenye kukandia chama chetu ASP umehamia kwa watu wa msalaba!!!Inshaalah
 
Kwahiyo ndio maana anachukia wazee wetu kufanya mapinduzi 1964
 
Nilikujibu alikaa miaka 100

Huna isipokuwa chuki mara Waarabu ,mara Sultani mara machotara hamna chochote nyinyi vibaraka wa mkoloni muingereza . Nchi yote mumeichafua na watu kuwatia umasikini uliokithiri
Alikaaa miaka mia kumbe!!!Basi tumsubiri mzee SAIDI mohamedi aje kukujibia!!Kdumu chama cha mapinduzi🤣🤣🤣
 
Nilikujibu alikaa miaka 100

Huna isipokuwa chuki mara Waarabu ,mara Sultani mara machotara hamna chochote nyinyi vibaraka wa mkoloni muingereza . Nchi yote mumeichafua na watu kuwatia umasikini uliokithiri
Alikaaa miaka mia kumbe!!!Basi tumsubiri mzee SAIDI mohamedaje kukujibia!!Kdumu chama cha mapinduzi🤣🤣🤣
 
Alikaaa miaka mia kumbe!!!Basi tumsubiri mzee SAIDI mohamedi aje kukujibia!!Kdumu chama cha mapinduzi🤣🤣🤣

wakati tunamsubiri , jibu swali , maana ulisema ukijibiwa utajibu

nani aliuliwa na sultan jemshid , au kuibiwa mali yake au kunajisiwa au kutiwa kilema ??
 
Mimi nimetoka wewe ndio ulihamia , angalia ulichoandika hapa chini in red


Nelson Jacob lushasi said:


Ni kama vile vile makhalifa wa kiislamu walivyoeneza utumwa bara asia!!!Au wewe hujui hilo kaka???

Na mimi nilichukua kwako kaka
 
Karibu forodhani kaka tule urojo baadae!!!Niletee na kadi ya ACT wazalendo kaka

Forodhani yote mumeshaiuwa , kardinali wako huyu anakuambia Muungano kaleta Yesu na uulinde kwa nguvu zote , hii ndio hali


- May 02, 2016

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
Dhuluma za waarabu ushahidi hauna ila dhuluma za ASP ushahidi unao!!!!Sawa mzee wangu walowezi wa kiarabu walikua watu bora zaidi kuliko babi zetu akina mzee karume
Nelson...
Umejaa na joto la chuki ya Uislam lugha ni hizo "Walowezi wa Kiarabu," kama vile ni jambo la jinai.

Lete ushahidi wa jela za mateso na mauaji.

Kauliwa Jaha Ubwa na Abdulaziz Twala ASP kindakindaki rafiki wa baba yangu.

Wanamapinduzi hawa.
Mauaji hayajasimama hadi leo.

Wewe unazungumza jambo usilolijua kabisa si kwa ndewe wala sikio.

Mimi nimeshiriki katika utafiti wa historia ya mapinduzi na tukaja na Kipumbwi na mengi ya Okello ambayo wewe umeyajua kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…