IkikupendezaWeka na mojawapo ya hotuba bora ya Magufuli
What a contrast ! Yaani ni mbingu na ardhiHuwezi kuamini Tanzania ilikuwa na Rais anaitwa Nyerere and now ina Samia.
As country tumeshuka sana standards
Hasa ile aliyosema mnataka kupanuliwa wapi?!Weka na mojawapo ya hotuba bora ya Magufuli
๐๐พJapo alikua anazungumza na waalimu ila aligusia mambo mengi ambayo hata wakati huu yanatuhusu sana.
Nukuu niliyoipenda ni ile ya maskini ama mnyonge hana cha kupoteza inapokuja suala la kudai mustakabali mwema, sana akipoteza ni huo umaskini na unyonge wake, hii nukuuu inatufaa sana wakati huu.View attachment 3075233
๐Hasa ile aliyosema mnataka kupanuliwa wapi?!
Maono yakazaa njaa na umasikini,raia viraka vitupuTumshukuru Mungu kwa kuwahi kuwa na raia mwenye maono haya.
Yeye alitaka changes?Viongozi wa chama chetu mmemsikia Baba wa Taifa " wasiotaka change ni wanyonyaji"
Aliishia kulia tu mkapa alipouza NBCAngekuwepo kuna watu wangekula mikwaju
He's good in preaching,on the field.. nothing!!Vintage Nyerere.