Weka na mojawapo ya hotuba bora ya Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka na mojawapo ya hotuba bora ya Magufuli
Aliokuwa anawataka Mwalimu kwa sasa hawatakiwi kabisa !Japo alikua anazungumza na waalimu ila aligusia mambo mengi ambayo hata wakati huu yanatuhusu sana.
Nukuu niliyoipenda ni ile ya maskini ama mnyonge hana cha kupoteza inapokuja suala la kudai mustakabali mwema, sana akipoteza ni huo umaskini na unyonge wake, hii nukuuu inatufaa sana wakati huu.View attachment 3075233
Ngoja wakusikie Mzee MohamedMwl Nyerere alikuwa nuru ya wengi. Mawazo yake yataendelea kuishi kizizi na kizazi
It is not that simple.He's good in preaching,on the field.. nothing!!
Huenda siyo simple ila alifeli vibayaIt is not that simple.
Hiyo statement bila kueleza alifeli katika nini na kwa nini inakosa maana.Huenda siyo simple ila alifeli vibaya
Kiuchumi alifeli vibaya, kisiasa alifanikiwa sana,maana nchi inamuabudu mpaka leoHiyo statement bila kueleza alifeli katika nini na kwa nini inakosa maana.
It is so banal and general that it is meaningless.
Na ni Kweli,,"Asiyejua kosea,,,Hajawahi Jaribu Jambo Jipya"Kwa upande wangu hii ni mojawapo iliyo bora kutoka kwa Magufuli.
Hakutunyonya kama waliopoYeye alitaka changes?
😂😂😂Alitoa madini lkn ndio vile walituibia fikra zetu ndio maana utaona mpk Leo mtu anaweza kubuni kitu baada ya mda ujuzi wake unapotezwa hutosikia tnJapo alikua anazungumza na waalimu ila aligusia mambo mengi ambayo hata wakati huu yanatuhusu sana.
Nukuu niliyoipenda ni ile ya maskini ama mnyonge hana cha kupoteza inapokuja suala la kudai mustakabali mwema, sana akipoteza ni huo umaskini na unyonge wake, hii nukuuu inatufaa sana wakati huu.View attachment 3075233
Unanyonywa nini,na nani,kivipi?Hakutunyonya kama waliopo