Moja wapo ya hotuba bora ya mwalimu Nyerere

Aliokuwa anawataka Mwalimu kwa sasa hawatakiwi kabisa !
Wanaitwa wasaliti sio wenzetu !
 
Hiyo statement bila kueleza alifeli katika nini na kwa nini inakosa maana.

It is so banal and general that it is meaningless.
Kiuchumi alifeli vibaya, kisiasa alifanikiwa sana,maana nchi inamuabudu mpaka leo
 
😂😂😂Alitoa madini lkn ndio vile walituibia fikra zetu ndio maana utaona mpk Leo mtu anaweza kubuni kitu baada ya mda ujuzi wake unapotezwa hutosikia tn
 
Nyerere hakuwa na timu iliyokamilika kifedha, kitaaluma na kiteknolojia ya kumtekelezea fikra zake katika vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…