Moja ya dalili kuwa hujitambui na hujiamini ni kutuma nauli kwa mwanamke ambaye ndio kwanza mnaanza mahusiano

Moja ya dalili kuwa hujitambui na hujiamini ni kutuma nauli kwa mwanamke ambaye ndio kwanza mnaanza mahusiano

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Lazima uliwe nauli wewe si lijinga. Na mimi nawasisitiza kina dada endeleeni kuwachangamsha ubongo wanaume wasiojitambua na wasiojiamini.

Wewe umemtongoza Binti au mwanamke labda kwenye Daladala, au mtandaoni,au umekutana naye mtaani au Kanisani au popote. Ni sawa kabisa. Wewe ni mwanaume lazima utongoze.

Katika mawasiliano ya hapa na pale, ukiwa unamseti Mwanamke kwenye angle unayoitaka ajae. Naye pia anakuseti kwenye Log10 yake ujae akupasue. Hivyo ni mchezo fulani wa kuzidiana akili na mbinu.
Kila mmoja akimvizia mwenzake.

Mwanamke yeyote anayetumia kigezo cha kukupima kama unampenda kwa Kukutaka fedha au umhudumie ujue huyo ni tapeli, hakupendi, na anachotaka ni kukupasua.

Elewa kuwa Mwanamke anayekupenda hakosi NAULI ya kuja kukuona mpenzi wake. Mwanamke hawezi kukosa nauli kwa Mwanaume anayempenda au mtoto wake aliyemzaa. Na Mzazi wake.

Sisi Watibeli tunatongoza Mwanamke na anakuja kwa nauli yake. Kama hataki tunapita kushoto. Hatulazimishi na hatutaki kulazimishwa.

Uzoefu wangu katika Mahusiano unaonyesha wazi kuwa Mwanamke akikupenda lazima ajitoe kwako kama wewe utakavyojitoa.

Achana na wale wanaume Washamba ambao wanatuma nauli alafu nauli hizohizo wanawake wanazitumia kwenda kwa wanaume wanaowapenda.

Mwanaume yoyote mjinga huona kujiumiza ndio uanaume wakati ni ubwege. Huwezi ukajiumiza kwa mtu ambaye hakupendi au kujiumiza kijinga ukasema huo ndio uanaume. Uanaume sio kuwa Bwege au Lofa.
Uanaume sio kujidharau na kukubali mtu mwingine akudharau.

Ni sawa na wale Mabwege yanayohudumia wake au Wanawake zao alafu bado hayapewi heshima, na tendo wanapimiwa au wanaomba. Wanaume hawapo hivyo.

Mwanaume lazima ujue kuwa jasho lako pia lazima liheshimiwe. Mtu anayedharau jasho lako amekudharau.

Kijana ukianza mahusiano usitume nauli, huko ni kutojitambua na kutojiamini.
Ni bora hiyo nauli utafute Kahaba au mwanamke mcheza vikoba hapo mtaa wa tatu umpe uende ukamalizane naye kama shida ni uzinzi, ngono.

Kama shida ni Mahusiano ya kweli, usitume Nauli. Mwache Aje kwa pesa yake mwenyewe. Naye lazima ajitoe kwaajili yako.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Siku hizi hakuna upendo , watu wanasambaza huduma.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wachache watamuelewa mtibeli, imagine nakuita date, our first date alafu mwanamke unademand nauli hahah godamit! Hiyo ni red flag unajua tu huyo demu ni class gani.

Waache!
Alafu kuna mijinga ikipigwa matukio inajfanya inahasira za kijinga😂😂 yaani kama Wendawazimu hivi. Ukiyasikia yanavyoongea ni kama nati zimelegea. Ooh! Nimetumia gharama kubwa sijui nimelipa blahblahblah!
Alafu Mpumbavu hanaga aibu. Hataki kama kujieleza hivyo ni kujidhalilisha kuwa yalikuwa majinga yenyewe yanaona yalikuwa yanawajibika😄
 
Nawaunga mkono wanawake wanaokula nauli ila mwanamke anayetumia nauli ya mwanaume mwingine kuenda kwa mwanaume mwingine huyo ni mpumbavu

Kama umeshindwa kuenda kwa huyo mtoto wa mwanamke mwenzio aliyekutumia hiyo nauli ni heri uile tu kuliko kuendea kwa mwanaume mwingine

Na mianaume ya hivi inayopenda vitonga kula hela za wanaume wenzao kupitia mademu zao nayo inatakiwa ichapwe viboko hadharani na idhalilishwe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama nauli tu mnaona garama mahari je?

Kwani ukipigwa afu kumi kuna hasara gani? Kwanza ni hasara ya mwanamke mana haimfikishi popote! Na wewe utakua umepata faida ya kutofungamana kimapenzi na tapeli! Maisha hayana mfumo maalumu mtu anaweza kuja kwa nauli yake na asikuombe kitu akakuweka akiba akaja kukupiga parefu ambapo hukutegemea ukalia kama tarzan!
msitengeneze fomula, ishi maisha ya kufanya kwamoyo hizi tahadhari hazitosaidia chochote mwanaume anazingatia chain ya maokoto tu! Hizi mambo ndogo ndogo hazina nafasi ubongo una mambo mengi ya msingi ya kuwaza
- maisha ni kurisk
-focus
-mkono wa kutoa unapokea
Usiwasanue wana bhanaa, unaharibuu sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Elewa kuwa Mwanamke anayekupenda hakosi NAULI ya kuja kukuona mpenzi wake. Mwanamke hawezi kukosa nauli kwa Mwanaume anayempenda au mtoto wake aliyemzaa. Na Mzazi wake.

Umemaliza
 
Elewa kuwa Mwanamke anayekupenda hakosi NAULI ya kuja kukuona mpenzi wake. Mwanamke hawezi kukosa nauli kwa Mwanaume anayempenda au mtoto wake aliyemzaa. Na Mzazi wake.

Umemaliza

Lakini lazima Dada zetu waendelee kutoa somo kwa wale wenye akili nzito
 
😄😄
Siku ukiwa na mimi elewa kuwa lazima unipende kweli ili mambo yaende vinginevyo mapema tuu utaaga mashindano.

Endeleeni kuwa na hao mnaowaona watoaji na wakarimu huku kila siku wao ndio wakiwa wanaua na kulialia humu
Kwahiyo mwanamke asipohitaji hela kutoka kwako ndio anakupenda? Hivi wewe hata ukioa kwenye harusi patakuwa na chakula kweli?
 
Kwahiyo mwanamke asipohitaji hela kutoka kwako ndio anakupenda? Hivi wewe hata ukioa kwenye harusi patakuwa na chakula kweli?

Wanawake tabia zenu zinafahamika. Mwanamke kama hakupendi hawezi kuvumilia bila kupewa chochote. Wanawake ni wabinafsi kwa kiwango wanachoshindwa kujizuia.

Unawaza kula kwenye Harusi? Umaskini mbaya Sana
 
Anawafundisha uchoyo huyo

Nawafundisha kuwa Wanaume.
Mwanaume lazima awe mwerevu anayejiamini na kujua kipi kwake ni sahihi.

Sasa demu ndio umemtongoza tuu kuja kwaajili ya mazungumzo ati umtumie nauli utadhani yeye hana shida. Thubutu! Watafanya haohao
 
Inategemea umemuapproach meanamke wa aina gani, hata mimi sio mdau wa kutuma nauli, ila kama binti hana kazi na unajua kabisa hana ajira unatuma tu. Msiwe wabahili hadi kupitiliza.
 
Inategemea umemuapproach meanamke wa aina gani, hata mimi sio mdau wa kutuma nauli, ila kama binti hana kazi na unajua kabisa hana ajira unatuma tu. Msiwe wabahili hadi kupitiliza.

Wanawake wakiamua lao linakuwa.
Mpe Mwanamke task hata kama unaona hana uwezo alafu muache kama hataitimiza.

Mwanamke kama hakupendi hawezi kutoa nauli hata kama anayo kuja kwako
 
Wajomba mnahangaika sana na hii maisha......mwanaume pambana ujiweke sawa kiuchumi wao wenyewe watakua wanakuja hata bila kuomba hyo nauli mnayozozana
 
Kwahiyo mwanamke asipohitaji hela kutoka kwako ndio anakupenda? Hivi wewe hata ukioa kwenye harusi patakuwa na chakula kweli?
Sikiliza Hanna.
Mwanamke kutunzwa ni muhimu 100%
But usiuze qumma yaani ulipwe baada ya tendo au siku ya kwenda kuliwa jigharamie tu hii humpa mwanamke heshima kubwa sana.

Kwa heshima hiyo hata siku nyingine ukahitaji hata 500k kwa dharura unapewa haraka sana kwani me atajua kweli una shida kwa vile wewe sio omba omba
 
Back
Top Bottom