Moja ya harusi bora kabisa hii

Hongera aisee...yeah mbwembwe hazitakiwi Kabisa
Unamuonyesha mbwembwe nani wakati hao wanaokuoza ndio walichanga michango yao ili harusi iwe hivyo.Labda useme wao ndio wanakuonyesha mbwembwe wewe kwa kukuoza kwa kiwango cha juu kuliko.uwezo.wako kupitia michango yao
 
Roho ya kikatili na kimaskini hii
Hakuna umasikini wowote ni kuamua tu.Unataka ndoa ikupe msongo wa mawazo?ofisini walilalamika lakini sikuwa na baya na mtu sijui huyu kanichangia mara hakuchanga,vikao n.k Kwa ufupi namshukuru Mimi ni mtu ambae sipendi mambo ambayo naona yananipa au yatanipa stress mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…