To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hongera aisee...yeah mbwembwe hazitakiwi KabisaIko vzr, kama yangu tu miaka 12 iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera aisee...yeah mbwembwe hazitakiwi KabisaIko vzr, kama yangu tu miaka 12 iliyopita
Roho ya kikatili na kimaskini hiiYangu ilikuwa na watu 6 Baada ya kutoka church Kila mtu na hamsini zake tumekutana jioni home.
Yeah, mie ilikua na watu 150 ilifanyika kunduchi beach hotel miaka 12 iliyopitakitu kinachofanana na hiki ni kama mimi, very simple
Hahahahaha..haikua na mbwembwe ila media zikikuwepo kuwakilishaHongera aisee...yeah mbwembwe hazitakiwi Kabisa
Unamuonyesha mbwembwe nani wakati hao wanaokuoza ndio walichanga michango yao ili harusi iwe hivyo.Labda useme wao ndio wanakuonyesha mbwembwe wewe kwa kukuoza kwa kiwango cha juu kuliko.uwezo.wako kupitia michango yaoHongera aisee...yeah mbwembwe hazitakiwi Kabisa
Yeah...mambo mengii mpaka ex anakula wali wa sherehe 😳🙄Unapenda ya hivi?
Anha,ni Sawa si kikubwa mlifanikiwaHahahahaha..haikua na mbwembwe ila media zikikuwepo kuwakilisha
Hongera.Ndio
😅😅😅😅 Leo ni babe🤣 leo hujaandika mchumba?!
Safi aisee ✌️😅😅😅😅 Leo ni babe
Tunajiandaa no magrup grup ya kusumbua pipoShadow7 ,Tresor Mandala ,Fake P ... Winnone ... Vincenzo Jr mje mshuhudie ufungaji ndoa usio na mbwembwe
🤣🤣🤣Tunajiandaa no magrup grup ya kusumbua pipo
Hakuna umasikini wowote ni kuamua tu.Unataka ndoa ikupe msongo wa mawazo?ofisini walilalamika lakini sikuwa na baya na mtu sijui huyu kanichangia mara hakuchanga,vikao n.k Kwa ufupi namshukuru Mimi ni mtu ambae sipendi mambo ambayo naona yananipa au yatanipa stress mbeleni.Roho ya kikatili na kimaskini hii
Kiukweli watu kumi tu wanatosha kuwapa taarifa na wenzaoYeah...mambo mengii mpaka ex anakula wali wa sherehe 😳🙄
Mbwembwe nyingi za nini mnakusanya wanga tuu
Kabisa Kabisa aiseeKiukweli watu kumi tu wanatosha kuwapa taarifa na wenzao
Ili ufaidi matako yao, maana weusi makalio walibarikiwa. Sema tu wengi wao wachafu wachafu, kalio linavutia likiwa ndani, ukilifunua unaweza toka ndukihaha sio za nzi weusi. haki ningekua mzungu ningebagua watu weusi ila wadada nisingebagua 😋