Moja ya harusi bora kabisa hii


Harusi ya majizo mmiliki wa EFM na Lulu ilikuwa kama hizo. Je lulu na majizo hanawana watu, ama hawana network ?

Harusi ya Millard Ayo ilikuwa kama hizo, je millard Ayo hana watu ama hana network ?

Wazungu wanafanya harusi kama hizo za watu wachache, je wazungu hawana watu ama hawana network ?
 
Issue watu wa aina hiyo ni wabinafsi huwezi waona hata kwenye kuchangia harusi au misiba ya wengine.

Hivyo hujua wazi wakiwa na harusi zao hakuna watakaowachangia.Hivyo kujificha kwenye hilo chaka la harusii za watu wachache sijui.sita nk wanajua network kwenye za kuchangiana harusi wao hawamo hivyo wanakuwa hawana network kwenye eneo hilo.Waweza kuwa na network kwenye maeneo mengine lakini sio hilo
 

Wewe mjinga kweli, unajua majizo kaajiri watu wangapi kwenye media yake. Je staff wake tu hawawezi mchangia afanye harusi ?

Unajua millard Ayo ameajiri watu wangapi ? Na pale clouds kuna wafanyakazi wenzake wangapi ? Je hao wa clouds tu hawawezi mchangia afanye harusi ?
 
Ahahahah...kanzu mpya tayari mama, ishaanza kupiga jaramba kufikia u- expert ili nianze ku interact. Ilishaku beep one time kwa mbaaali, soon hii inaenda off tar 5 april mwisho baada ya kutoka kwa Madiba Ubuntu botho πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana! Ila nimemkumbuka amezoea kuniita hivyo...
Ukisajili laini mpya usisite kunipa taarifaπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Ahahahah...kanzu mpya tayari mama, ishaanza kupiga jaramba kufikia u- expert ili nianze ku interact. Ilishaku beep one time kwa mbaaali, soon hii inaenda off tar 5 april mwisho baada ya kutoka kwa Madiba Ubuntu botho πŸ˜‚πŸ˜‚
Nibeep tena leo! Make sure iwe leo ili nisave numberπŸ˜‚
 
Hata wakimchangia Harusi itakuwa na hao wafanyakazi tu.kuepusha aibu kuwa anaifanya private sababu yasijeanza majungu kuwa harusi ilifurika wafanyakazi tu ndugu hawakuwepo
 
Huwa wengine wana matatizo yao

Mfano Magufuli aliwahi tamba waziwazi kuwa alifunga ndoa na Janet Magufuli akiwa anasoma chuo.kikuu na ndoa ilifungiwa pale kanisa la chuo kikuu ndoa hiyo ilishirikisha watu watano yeye na bi Janet Magufuli na wasimamizi wao wawili na Padre aiyefungisha ndoa

Baada ya kufungishwa ndoa walikunywa soda moja moja wote watano .Baada ya kunywa soda Magufuli akaendelea na masomo yake shughuli ya ndoa ikaishia hapo.

Hapo ukiangalia unaona kuna shida ndoa kama hiyo.Ndugu wa pande zote wapo ,marafiki wapi,majirani wapo nk why iwe hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…