macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni kweli. Asili ya ndizi mchare ni uchagani na huko hawatumii nazi. Ndizi zikipikwa kwa njia sahihi inayotumiwa na wachaga zinakuwa na nyama za kawaida+utumbo.Sio nazi.
Iwekwe nyama nyingi zenye mafuta futa.
Hapo jiandae na kisukari mkuu.Peps kama peps ndani yake kuna kilevi ambacho humufanya mtu kukifikiria kila wakati kama cocane , hivo ukijichanganya ukanywa moja kesho keshokutwa bas hutokaa uache. Mm ni mlevi wa peps nikipata chakula cha mchana lazima iwepo pemben nimejaribu kuacha imeshindikana.
Nyama ni pai ndio maana hata sikuitaja, hiyo lazima iwepo.Ni kweli. Asili ya ndizi mchare ni uchagani na huko hawatumii nazi. Ndizi zikipikwa kwa njia sahihi inayotumiwa na wachaga zinakuwa na nyama za kawaida+utumbo.
hiki kinywaji kitamu, nadhan wanaotumia pepsi hawakijuiNdugu zangu wa mirinda nyeusi tujuane..
Ni kweli ila maeneo ya Moshi na Arusha bidhaa zao ni adimu sana huwa nikienda bar au madukani napata tabu sana kuipata naona watu wa kule wameipiga vita ili wamuungishe bonite cocacola.pepsi ni marketing strategy waliyotumia, maduka mengi hayana coca so watu wanakunywa wanachopata.
Maduka mengi yananunua pepsi na siyo coca kwasabab pepsi ni cheaper
Hizo mirinda hazisogeiIko wazi Pepsi na soda ambazo ni family yake like mirinda nyeusi zinauzika sana
Ni kweli mkuu nakumbuka miaka ile nafikiri ilikuwa kati ya 2010-2015 ndio bei zilipanda ghafla.Iko hivii, kwanini pepsi inapendwa sana siku hizi kuliko vinywaji vingine vya cocacola kama zamani zilivyokua zinapendwa. Tatizo lilianzia kwenye bei, kuna kipindi soda za coca zilipandisha bei mpaka miasita 600, na pepsi pia,,, lakini pepsi akaona fursa kwa watu baada ya kuona hawakupendezwa na ile bei, Pepsi akashusha bei soda zake zote iwe 500,, kwa maana ukiwa na 1000, unapata soda 2 sio moja tena,, huku coca aliyejitengenezea soko akakomaa na 600,, Watu wakachangamkia sana pepsi za jero hata kwa wasiozipenda ikawalazimu wanywe tu ili kwenda sawa na bajeti,, watu wakajikuta wamezipenda na kuzizoea sana pepsi na mirinda,, huku soko la coca likishuka,,, Cocacola kuja kustuka tayari wameachwa pakubwa saaaana, nao wakapunguza bei,, lakini wakiwa washachelewa, watu washauonja utamu wa pepsi na mirinda na kuwanogea,,,Ndo maana mpaka sasa Pepsi inaongoza kwa mauzo sana kuliko coca.. kuna pepsi big pia kumbuka[emoji16] nao wataiga tu.
Naona Pepsi inazidi kupendwa sana na wabongo, sijui kwanini juzi kati nilikuwa Dar kama unavyojua Dar jua kali sana sehemu za vinywaji laini wengi walikuwa wanaagiza pepsi na maji.
Sasa hivi mkoa niliopo kulikuwa na sherehe mahali nami nikawepo hapo kulikuwa hamna pombe bali ni aina zote za soda lakini wengi walikuwa wanaagiza waletewe pepsi.
Hata ukicheki mida ya mchana ile time watu hawanywi pombe wakiwa bar au wap wengi huagiza pepsi tu.
Hongereni pepsi maana hata hapa nilipo kaa sasa hivi napata pepsi yangu ya baridi.
Kampuni waweke caffeine kwenye peps wanywaji wataongezeka
Kumbe? Ila Pepsi bigi ni mchanganyiko wa Mtanzania.Pepsi ina caffeine miaka na miaka ukisoma chupa ya pepsi big wameandika
Wala sio Marketing.pepsi ni marketing strategy waliyotumia, maduka mengi hayana coca so watu wanakunywa wanachopata.
Maduka mengi yananunua pepsi na siyo coca kwasabab pepsi ni cheaper
Kumbe? Ila Pepsi bigi ni mchanganyiko wa Mtanzania.
Pepsi ya kawaida ni mchanganyiko ulio dunia nzima
Ni kweli. Asili ya ndizi mchare ni uchagani na huko hawatumii nazi. Ndizi zikipikwa kwa njia sahihi inayotumiwa na wachaga zinakuwa na nyama za kawaida+utumbo.Sio nazi.
Iwekwe nyama nyingi zenye mafuta futa.
Ni kweli. Nakubali nazi inatumika. Ila mimi nilielezea upikaji wa asili.Nyama ni pai ndio maana hata sikuitaja, hiyo lazima iwepo.
Ila kwa sasa wanaongezea na nazi mkuu.
Mi nimeacha rasmi mwaka jana baada ya kuwa teja la pepsi. Nilkuwa nikiamka naiwaza kumbe wanatia coccaine unakuwa na arosto. Watu hawajashtuka. Bas tu binadam huwa tu ajiua taratib had tukilazwa hudhan tumeanza siku hiyo. Siamin mimi kuacha peps na aina zote za soda na vinywaj vya aina hiyo.Duh sijanywa soda mwaka wa 10 sasa
Ova
Inawezekana kampuni imeyumba au haina soko eneo hilo.ndio mkuu alafu pia sasa hivi kupata soda za kampuni ya coke ni kazi sana nilikuwa Geita juzi maduka mengi madogo hayana soda za coke kwa sababu hazipatikani nadhani kampuni inayumba
mwanangu tunadiscuss nini na wewe unadiscuss nini,unatuvuruga etiHakuna chakula kitamu duniani kama ndizi mshare halafu waweke na nazi.