Moja ya kinywaji laini (soft drinks) kinachopendwa Bongo Pepsi inaongoza

Moja ya kinywaji laini (soft drinks) kinachopendwa Bongo Pepsi inaongoza

Peps kama peps ndani yake kuna kilevi ambacho humufanya mtu kukifikiria kila wakati kama cocane , hivo ukijichanganya ukanywa moja kesho keshokutwa bas hutokaa uache. Mm ni mlevi wa peps nikipata chakula cha mchana lazima iwepo pemben nimejaribu kuacha imeshindikana.
Hapo jiandae na kisukari mkuu.
 
Ni kweli. Asili ya ndizi mchare ni uchagani na huko hawatumii nazi. Ndizi zikipikwa kwa njia sahihi inayotumiwa na wachaga zinakuwa na nyama za kawaida+utumbo.
Nyama ni pai ndio maana hata sikuitaja, hiyo lazima iwepo.

Ila kwa sasa wanaongezea na nazi mkuu.
 
pepsi ni marketing strategy waliyotumia, maduka mengi hayana coca so watu wanakunywa wanachopata.

Maduka mengi yananunua pepsi na siyo coca kwasabab pepsi ni cheaper
Ni kweli ila maeneo ya Moshi na Arusha bidhaa zao ni adimu sana huwa nikienda bar au madukani napata tabu sana kuipata naona watu wa kule wameipiga vita ili wamuungishe bonite cocacola.
 
Iko wazi Pepsi na soda ambazo ni family yake like mirinda nyeusi zinauzika sana
Hizo mirinda hazisogei
Labda kwenye baadhi ya mikoa
Nikiongelea kanda ya kaskazini
Bonite na vinywaji vyao (Maji na Soda) alafu Pepsi kiasi japo now zinaenda sana.
 
Iko hivii, kwanini pepsi inapendwa sana siku hizi kuliko vinywaji vingine vya cocacola kama zamani zilivyokua zinapendwa. Tatizo lilianzia kwenye bei, kuna kipindi soda za coca zilipandisha bei mpaka miasita 600, na pepsi pia,,, lakini pepsi akaona fursa kwa watu baada ya kuona hawakupendezwa na ile bei, Pepsi akashusha bei soda zake zote iwe 500,, kwa maana ukiwa na 1000, unapata soda 2 sio moja tena,, huku coca aliyejitengenezea soko akakomaa na 600,, Watu wakachangamkia sana pepsi za jero hata kwa wasiozipenda ikawalazimu wanywe tu ili kwenda sawa na bajeti,, watu wakajikuta wamezipenda na kuzizoea sana pepsi na mirinda,, huku soko la coca likishuka,,, Cocacola kuja kustuka tayari wameachwa pakubwa saaaana, nao wakapunguza bei,, lakini wakiwa washachelewa, watu washauonja utamu wa pepsi na mirinda na kuwanogea,,,Ndo maana mpaka sasa Pepsi inaongoza kwa mauzo sana kuliko coca.. kuna pepsi big pia kumbuka[emoji16] nao wataiga tu.
Ni kweli mkuu nakumbuka miaka ile nafikiri ilikuwa kati ya 2010-2015 ndio bei zilipanda ghafla.
 
Naona Pepsi inazidi kupendwa sana na wabongo, sijui kwanini juzi kati nilikuwa Dar kama unavyojua Dar jua kali sana sehemu za vinywaji laini wengi walikuwa wanaagiza pepsi na maji.

Sasa hivi mkoa niliopo kulikuwa na sherehe mahali nami nikawepo hapo kulikuwa hamna pombe bali ni aina zote za soda lakini wengi walikuwa wanaagiza waletewe pepsi.

Hata ukicheki mida ya mchana ile time watu hawanywi pombe wakiwa bar au wap wengi huagiza pepsi tu.

Hongereni pepsi maana hata hapa nilipo kaa sasa hivi napata pepsi yangu ya baridi.

jibu ni rahisi, coke waliharibu wenyewe ingredients zao walianza kuuza coke kwenye chupa mpya ambazo hazikuwa na radha ya awali na baada ya miaka kadhaa wakaja na coke diet ambayo hayana sukari hivo hizi sababu mbili ndio anguko lao
 
pepsi ni marketing strategy waliyotumia, maduka mengi hayana coca so watu wanakunywa wanachopata.

Maduka mengi yananunua pepsi na siyo coca kwasabab pepsi ni cheaper
Wala sio Marketing.

Coca wameharibu formula ya kinywaji chao.

Kuna kipindi coca ilikuwa tamu sana na pepsi ilikuwa taka taka tu.
 
Kumbe? Ila Pepsi bigi ni mchanganyiko wa Mtanzania.
Pepsi ya kawaida ni mchanganyiko ulio dunia nzima

ndio mkuu alafu pia sasa hivi kupata soda za kampuni ya coke ni kazi sana nilikuwa Geita juzi maduka mengi madogo hayana soda za coke kwa sababu hazipatikani nadhani kampuni inayumba
 
Sio nazi.
Iwekwe nyama nyingi zenye mafuta futa.
Ni kweli. Asili ya ndizi mchare ni uchagani na huko hawatumii nazi. Ndizi zikipikwa kwa njia sahihi inayotumiwa na wachaga zinakuwa na nyama za kawaida+utumbo.
Nyama ni pai ndio maana hata sikuitaja, hiyo lazima iwepo.

Ila kwa sasa wanaongezea na nazi mkuu.
Ni kweli. Nakubali nazi inatumika. Ila mimi nilielezea upikaji wa asili.
 
Duh sijanywa soda mwaka wa 10 sasa

Ova
Mi nimeacha rasmi mwaka jana baada ya kuwa teja la pepsi. Nilkuwa nikiamka naiwaza kumbe wanatia coccaine unakuwa na arosto. Watu hawajashtuka. Bas tu binadam huwa tu ajiua taratib had tukilazwa hudhan tumeanza siku hiyo. Siamin mimi kuacha peps na aina zote za soda na vinywaj vya aina hiyo.
 
ndio mkuu alafu pia sasa hivi kupata soda za kampuni ya coke ni kazi sana nilikuwa Geita juzi maduka mengi madogo hayana soda za coke kwa sababu hazipatikani nadhani kampuni inayumba
Inawezekana kampuni imeyumba au haina soko eneo hilo.
Kuna baadhi ya maeneo ukifika unakuta kampuni ya pepsi tu au ya Coca-Cola tu
 
Back
Top Bottom