Moja ya kinywaji laini (soft drinks) kinachopendwa Bongo Pepsi inaongoza

Umeongea ukweli mkuu, Pricing strategy walioadopt Pepsi iliwarudisha kwenye ramani maana walipoteaga kabisa enzi zile wanatumia creti za mbao 😂😂😂
 
Mi soda yangu pendwa ilikuwa VIMTO. Sijui hata ilipotelea wapi hii kitu jamani. Nilikuwa napiga chupa hadi 3 kwa mpigo.
 
Hongera mkuu soda siyo kabisa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Pepsi ipo vizuri sana
 
Dah! Huu utafiti wako aisee unachekesha... anyway huku nilipo vinywaji vya energy vinatumiwa sana na vinapendwa mpaka na waliokatazwa kuvitumia
Wote mturushie picha tuone kinywaji gani ni pendwa zaidi Kati ya hivyo.
 
Kuna kipindi nilikuwa mteja wa Mirinda nyeusi sana mpaka ikafikia stage nikawa nikinywa nahisi mwili una badilika. Nahisi kizungu zungu dah nikaacha aisee.
Ile kitu ni hatari sana mkuu,kuna mtu namfahamu vzr alikua hanywi pombe kabisa lkn daily ilikua lazima anywe hio kitu.

Sa hivi anasumbuliwa na kisukari hatari.
 
Ni kweli hata maji kifungashio Cha maji ya afya kilikuwa Cha kuvutia soko lao likapanda na uhai ikapoteza soko lakini uhai imerudi kwa kasi sana lita 1.6 ni mia tano wakati afya lita 1.5 ni mia sita na lita1 ndiyo mia tano
 
Yap,hasa ukikutana na lile pepsi big,unahangaika nalo wee mpaka nafsi inasuhuzika.

pepsi[emoji818]
peps[emoji777]
Hivi faiza fox siku hizi Yuko wapi? Alikuwa anapenda Sana kurekebisha makosa kwenye kiswahili.natamani aendeleze kazi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…