Moja ya kitu ambacho siwezi thubutu kukifanya ni Kumnunulia Mwanamke Chupi

Umnunulie usimnunulie kama ni kupigwa nje atapigwa tu. Uaminifu ni kitu kingine kabisa. Anaweza hata lala kitanda ulichochonga wewe sembuse chupi.
Ngoja apigwe mpaka achakae mkuu lakini avuliwe chupi aliyojinunulia,kwangu kupigwa si tatizo
 
Mkuu sio chupi tu Bora umupe pesa ata milioni akachezee ziiishe kuliko kumpa kitu kitu kitakachodumu akilini mwako hata kama Cha 5000

Mwanamke akidai pesa mpe ila si vitu vitakukost 1 day

Niliwai kua mlevi konki kisa stress za huu upumbavu kwa kunasa sms lijamaa linamsifu

Nikahapa sitakuja mnunulia kitu Cha kudumu kama Bata tule Hela chukua ila si zawadi
 
Na kosa lingine hukupaswa kuthubutu kulifanya kuingiza dude mahali masela wengine wanaingiza,


Binafsi nmeamua kutokua na misimamo tena ktk haya maisha, maake hata maisha nayoishi sasa nshajipiga betrayal za kufa mtu,
 
Tuanzie hapa kwanza una umri gani,umeanza kujihusisha na mahusiano mdaa ganii,una mahusiano,yapo level gani,umeoa and if umeoa how many kids uko nao ,ukijibu hayo maswali hiyo hoja yako haina mashiko maana nguo ya ndani ni kama zingine tuuu

au
Kweli kabisa haielewek
 
Wanawake wanapanua labia minora KWA mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…