Moja ya kitu ambacho siwezi thubutu kukifanya ni Kumnunulia Mwanamke Chupi

Moja ya kitu ambacho siwezi thubutu kukifanya ni Kumnunulia Mwanamke Chupi

We jamaa umeongelea lahana, nani kakwambia chupi inaleta lahana, **** nyingi zimebeba lahana so kama mtu wa kuingiza kwenye vitobo tofautitofauti basi tambua kuwa utabeba mikosi na nuksi nyingi sana
 
Ukihitaji salamu nenda kwa waswahili wenzio,kwangu utaambulia chuya tu!.



Kuna mambo mawili ambayo siwezi katakata na sitothubutu kuyafanya kwa kiumbe anayeitwa "MWANAMKE"

Mambo hayo ni :-

1.KUMSOMESHA
2.KUMNUNULIA NGUO YA NDANI (Waswahili huita "CHUPI")


Mambo mengine yote naweza kuyafanya kwa uhakika na ukamilifu wa asilimia 💯 lakini hayo mawili hata unishikie mtutu wa Bunduki.
Hilo la kwanza kuna wadau wamelizungumzia sana hapa JF lakini naamini hili la pili halipo hapa JF tangu ianzishwe,sasa leo nitaligusia tu kimtindo.

Kwanini siwezi kumnunulia chupi mwanamke?

1.Siwezi kumnunulia chupi kiumbe ambaye akitoka hapo anakwenda kuvuliwa hiyo hiyo chupi na mwanaume mwingine bila aibu.

2.Chupi hiyo hiyo uliyomnunulia itakwenda kufuta uchafu wa kwenye mkuyenge wa mwanaume mwingine wakimaliza kupigana miti.

3.Kupitia chupi uliyomnunulia atakuwa anapewa sifa za kijinga na janaume lake huko "Baby chupi imekukaa utamu kweli".

4.Chupi utakazokuwa ukimnunulia yeye atakuwa anataka kila mara kwenda kumfunulia bwana'ake ili aone namna zinamkaa.

5.Kupitia chupi hiyohiyo uliyomnunulia akitoka kupigwa mkuyenge atabeba laana huko atakuletea nyumbani.


Mimi Binafsi mwanamke wangu au mpenzi wangu inapaswa anunue chupi kwa pesa na gharama zake siyo zangu!.

Mambo mengine yote nitafanya ila si hayo mawili.


Nipo Ununio njooni mniue kama mmekwazika!.
Tafuta mwanamke mwenye nidhamu achana na magumegume
 
Mnunulie wahuni tumvue, 🤣🤣🤣Hamna sababu za msingi zaidi ya wivu wa kitoto.... Hz mambo za kunyandua usitumie akili nyingi sana we nenda TU hvo hvo kuchapiwa kupo TU kama ilivo kuchapa
 
Ukihitaji salamu nenda kwa waswahili wenzio,kwangu utaambulia chuya tu!.



Kuna mambo mawili ambayo siwezi katakata na sitothubutu kuyafanya kwa kiumbe anayeitwa "MWANAMKE"

Mambo hayo ni :-

1.KUMSOMESHA
2.KUMNUNULIA NGUO YA NDANI (Waswahili huita "CHUPI")


Mambo mengine yote naweza kuyafanya kwa uhakika na ukamilifu wa asilimia 💯 lakini hayo mawili hata unishikie mtutu wa Bunduki.
Hilo la kwanza kuna wadau wamelizungumzia sana hapa JF lakini naamini hili la pili halipo hapa JF tangu ianzishwe,sasa leo nitaligusia tu kimtindo.

Kwanini siwezi kumnunulia chupi mwanamke?

1.Siwezi kumnunulia chupi kiumbe ambaye akitoka hapo anakwenda kuvuliwa hiyo hiyo chupi na mwanaume mwingine bila aibu.

2.Chupi hiyo hiyo uliyomnunulia itakwenda kufuta uchafu wa kwenye mkuyenge wa mwanaume mwingine wakimaliza kupigana miti.

3.Kupitia chupi uliyomnunulia atakuwa anapewa sifa za kijinga na janaume lake huko "Baby chupi imekukaa utamu kweli".

4.Chupi utakazokuwa ukimnunulia yeye atakuwa anataka kila mara kwenda kumfunulia bwana'ake ili aone namna zinamkaa.

5.Kupitia chupi hiyohiyo uliyomnunulia akitoka kupigwa mkuyenge atabeba laana huko atakuletea nyumbani.


Mimi Binafsi mwanamke wangu au mpenzi wangu inapaswa anunue chupi kwa pesa na gharama zake siyo zangu!.

Mambo mengine yote nitafanya ila si hayo mawili.


Nipo Ununio njooni mniue kama mmekwazika!.
Mi nipo hapa getini kwako nakusubiri utoke nikupongeze, sijaja kukuua, usihofu mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo unayemtia miti na kumvua chupi kanunuliwa na nani? Basi mpe pesa atanunua mwenyewe ili wengine wakamvue
 
Anyways ni mtazamo wako lakini, je unajua siri ya kitanda chako na mashuka ulonunua mwenyewe mkeo alishayafanyia nini, je unajua hiyo pesa unayompa kama asante au hata kwa matumizi mengine unajua anaenda kuitumia wapi kama anaenda kumpa mwanaume mwenzio kama asante kwakuwa kamkula vzr au hata vocha unayompa unajuaje kama inaenda kuhalalisha mawasiliano ya yeye kupatatana na aliyepanga kwnd kumpa uroda. Kuishi na mwanamke shukuru kama akiwa anakuheshimu tu mengine achana nayo kufatilia utamaliza dunia yote usimpate mwema
 
Kama chupi tu huwezi kununua lazima ushangae wanaowanunulia wanawake zao magari. Pole sana.
Ninamiliki gari aina ya BMW X3 Nyeusi ya Mwaka 2018,nililinunua kwa $ 18273.

Nina miliki Harrier 240G Tako la nyani nyeusi ya Mwaka 2012 niliyonunua $ 11000

Hivyo kwangu Gari si kitu cha ajabu,kwahiyo kama mentality yako ni kununuliwa gari basi hilo shimo liandae kwasababu litachimbwa sana!.
 
Back
Top Bottom