Moja ya kitu ambacho siwezi thubutu kukifanya ni Kumnunulia Mwanamke Chupi

We jamaa umeongelea lahana, nani kakwambia chupi inaleta lahana, **** nyingi zimebeba lahana so kama mtu wa kuingiza kwenye vitobo tofautitofauti basi tambua kuwa utabeba mikosi na nuksi nyingi sana
 
Tafuta mwanamke mwenye nidhamu achana na magumegume
 
Mnunulie wahuni tumvue, 🤣🤣🤣Hamna sababu za msingi zaidi ya wivu wa kitoto.... Hz mambo za kunyandua usitumie akili nyingi sana we nenda TU hvo hvo kuchapiwa kupo TU kama ilivo kuchapa
 
Mi nipo hapa getini kwako nakusubiri utoke nikupongeze, sijaja kukuua, usihofu mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo unayemtia miti na kumvua chupi kanunuliwa na nani? Basi mpe pesa atanunua mwenyewe ili wengine wakamvue
 
Anyways ni mtazamo wako lakini, je unajua siri ya kitanda chako na mashuka ulonunua mwenyewe mkeo alishayafanyia nini, je unajua hiyo pesa unayompa kama asante au hata kwa matumizi mengine unajua anaenda kuitumia wapi kama anaenda kumpa mwanaume mwenzio kama asante kwakuwa kamkula vzr au hata vocha unayompa unajuaje kama inaenda kuhalalisha mawasiliano ya yeye kupatatana na aliyepanga kwnd kumpa uroda. Kuishi na mwanamke shukuru kama akiwa anakuheshimu tu mengine achana nayo kufatilia utamaliza dunia yote usimpate mwema
 
Kama chupi tu huwezi kununua lazima ushangae wanaowanunulia wanawake zao magari. Pole sana.
Ninamiliki gari aina ya BMW X3 Nyeusi ya Mwaka 2018,nililinunua kwa $ 18273.

Nina miliki Harrier 240G Tako la nyani nyeusi ya Mwaka 2012 niliyonunua $ 11000

Hivyo kwangu Gari si kitu cha ajabu,kwahiyo kama mentality yako ni kununuliwa gari basi hilo shimo liandae kwasababu litachimbwa sana!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…