Nikaanza kuuchapa kwa mguu ili pkpki itakayonikuta mbele inibebe ukizingatia kule kuna machimbo nyingi tofauti so nikajua kabisa njiani ntapata boda but siludi nyuma.
Tuendelee 05
Nikakanyaga kwa mguu begi kubwa mgongoni Nina bonge la koti la kaki, chini kiatu converse kubwa black leza
alafu jua lilikua Kali siku Ile nakumbuka
pori Kwa pori msitu Kwa msitu pikipki zinakuja zipo full nafasi Amna ikabidi nizidi kusonga taratibu sehemu penye mtandao nampiga mshikaji simu namuelekeza nilipo anachoniambia ni yah kaza mtoto wa kiume ndio safari za kiume izo.
Nilipiga mwendo mpaka getini ambapo hapo ndio unaacha mpaka wa msumbiji na unaitafuta Tz pale getini wakaniuliza Tu maswali flani na nikalipa elfu 5 na hata kule nako nililipa elfu 5 wakati natoka nakumbuka nilimkuta Askari bonge ivi akaniambia mwanangu subiri Tu hapa pikipiki utapata usiwe na pressure na alikua anaongea Kiswahili fresh Tu.
Kweli nikasubiri pale kuna pikipiki ilitoka boda inampeleka abiria kule pori akasema sio muda anarudi niandae elfu kumi nikamsumbiri pale saa nzima mpaka alivyorudi nikapanda chuma ndefu saa nzima tupo njian mpaka boda kivukoni.
Pale tukapanda mtumbwi mpaka ng'ambo mishale inasoma saa7 iyo nikashuka pale na kusubiri bus ambayo hua inaingia pale saa 8 inashusha na inaanza safari ya kurudi songea aikua chukua muda ikawadia tukapanda pale palikua na abiria wengine na safari ya kuitafuta songea kuanza.
Wakuu hapo sasa nakaribia home naiyona home hii hapa mawazo ndio Kwanza yanaanza aisee acheni Tu, akuna kitu nilikula zaidi ya pale boda kula mua Tu na baadae kunywa maji basi.
Tulisonga mpaka mida ya saa moja jioni hatimae tunaingia songea stend mshikaji nilimkuta ananisubiri pale nimeshuka salamu za siku kitambo kidogo kilipita toka tuachane tukapiga stor nyingi sikua na mood ki ukweli Ila tuliongea Sana mpaka saa mbili ivi akaniuliza pesa niliyobaki nayo nikamwambia ipo laki na elfu 6 niliamini hii ataniachia ya kuanza maisha mapya after one year and five month's akasema basi nipe elfu 40 mwanangu nyingine Baki nayo nikampatia tukaagana mi nikatoka mpaka saloon flani ivi nikanyoa nywele zangu.
Kisha nikatoka mpaka kijiwe cha boda saa tatu usiku iyo sasa kabla sijachukua boda simu yangu iliita alikua ni demu flani nilikua natoka nae kule msumbiji nae wa songea Ila tulijuana kule,, na tulijuana wakati huo yupo mwishoni kumaliza mkataba wake ivyo aliondoka mi nikamwambia sina mda mrefu ntakua huko alikua akituma Sana watu nikampigie wakati Niko msumbiji
uyu demu alinikubali Sana Mimi pia........ na kipindi chote icho ata akija geto akuwai niomba pesa mpaka nimpelekee nisipo mpa ndio basi kuna muda yeye mpaka chakula alininunulia,
kuna soda nilikua naipenda Sana kwajili ya kifua daily ilikua lazima aniletee geto kuna siku nimeenda baan kwao nikaagiza iyo soda alinhudumia mdada mwingine wakati ananiletea aliiyona Ile soda alitoa macho kwenye Ile soda akamtazama yule mdada akageuka nilipo Mimi kunichek mi nikachengesha macho Ka simuoni ivi kumbe napiga jicho kinyonga, uyu ilikua ata nikimkuta yupo na wenzake anapiga stor Kwa sauti akiniona anashtuka na anapoteza kabisa kujiamini hasa iyo Hali niliijua so nikawa napita nimevimba Ka dume la nyani ivi....
Basi Ile simu kupokea Tu akatulia sekunde kazaa kisha akasema usiniambie upo msumbiji nasikia kelele za pikipiki na honi za magari, miziki kule mlimani Amna ivyo niambie upo wapi ibu nimekumiss Sana tafazali niambie ahaa kidume nikasema nilipo nikasikia yeeeeebo akasema soon nakuja.
Nimetulia kama dakika 5 simu inaita yeye akauliza nilipo nikamwambia akaja mgongoni kwangu akanikumbatia mwanana tukapiga stor Sana pale alafu alikua kanenepa umbo limezidi kuchongeka msambwanda sasa mhm
Tukatoka mpaka kwenye mgahawa flani tukaagiza wali maziwa izo siku zote msumbiji maziwa ya ng'ombe nilikunywa siku moja Tu Lita 2500 tukagonga msosi tukiendelea na stor tukasepa pale njiani story nyingi Sana mpaka saa 5 usiku akapigiwa simu bwana na mama mwenye nyumba wake akamuuliza upo wapi tunataka kufunga mlango akanigeukia Mimi akaniuliza vipi narudi ib? nikamwambia nenda J tuonane kesho si unaona nimechoka wacha nikapumzike hom akasema Sawa sikumwambia kama Nina mke tukaagana akasepa.
Mimi uyo mpaka home pale home yupo shangaz yangu na wife Ile nimefika wife yupo chohoni nikagonga wife akauliza Nani sikujibu shangaz akasema mbona sijasikia mtu akigonga wife akaenda chumbani nikagonga ya pili shangaz ndio akajua panagongwa akaamka kunifungulia shangazi akashangaa ehee shangazi usiku wote huu karibu jamani karibu Sana nikakaribia mpaka ndani nikasalimiana na shangazi pale then uyo chumbani kwangu.
Mlango wife aliacha wazi kumbuka Pana dakika 5 takribani toka atoke toilet nimeingia nimeshusha begi nime change nguo wife ananiona ajaamka nimeenda jikoni nimechukua maji mpaka bafun kuoga nimerudi ajaamka nimejiweka fresh toka alivyo mute mpaka nalala na ninajua kabisa yupo macho toka alivyo kauka na Mimi nikaona nikaushe sio ishu maana mapokezi niliyo tarajia ni tofaut Bora ningeenda kutwanga yule mchepuko nilimwambia nimechoka Kwa kujua home yupo Nani.
Ila ajabu nikayakuta Ayo piga mbonji mpaka asubuhi yeye aliwahi amka kitandani pale nikabaki Mimi na mtoto wangu wa kiume uyu ni second born niliondoka yupo mdogo ndio anaanza kutembea Tu kuongea bado bado Ila hapo nilikua naiyona njemba aisee mpaka mwenyewe nacheka dogo akashtuka nae akanicheki akatamka Baba rudi sikumjibu akashuka kitandani akaenda jikoni Kwa mama ake nikamsikia anasema mama alafu mama ake anaitika kisha anamwambia Baba ndani kule mam ake ajibu aliongea ivyo zaidi ya mara tatu.
Wife ana vibiashara vyake lakini sikuacha mtumia pesa wakati nipo ng'ambo ilikua kila tarehe 1 natuma si chini ya 50 alafu tarehe 15 natuma tena na tarehe 1 au 30 natuma pesa kama kawaida kuna vitu nilikuta kanunua ambavyo wife namjua pesa yake sio easy kununua kitu kwajili ya familia nikajua kabisa pesa nilizokua natuma kajiongeza nikamuuliza ivi vitu vya nani akasema vya kwangu nikamuuliza vya kwako akasema ndio nimenunua Mimi nikajibu Oho Sawa nikaona ubinafsi ule ndio huu chake chake na changu cha wote.
Nikachukulia easy Tu kamaliza shughuli zake neno alilo niambia ni hili utaacha pesa Kwa shangaz mhmm nikamjibu Sawa ntaacha hii pesa hua anaacha kwajili ya shangazi anabaki na madogo pale home ili ndio neno alilonipa wakuu kumbuka toka nimefika hata salamu Amna kunijulia Hali nilikotoka akuna labda za safari akuna na je umerudi tunaanzaje maisha mume akuna labda mume kaondoka muda mrefu Leo naghairi ata kwenye biashara siendi akuna ni akuna Tu akasepa zake.
Jioni aliwai Rudi akafanya mishe zake mi badae nimetoka kuchek mechi narudi nikamkuta anacheki series za kihindi akaanda Tu msosi basi nikala nikaanzisha stor nikaona kabisa anajibu Kwa kujilazimisha mhm Mzee mzima nikavuta shuka nikalala iyo Hali ilidumu mpaka siku tatu.
Siku iyo anaaga anaondoka nikamuuliza mama J mbona sikuelewi yani toka nimerudi upo busy ivi huo ubusy wa namna gani hata kukaa na Mimi akuna nikueleweje?! Akasema ivi wewe unayofanya uyaoni nikamwambia yapi Ayo akajibu sijui mwenyewe ahaaa hapa tuliongea na kubishana Sana mwisho nikasema ok watoto si hawa wamekua mwingine yupo darasa la pili mwingine ndio uyo akipiga chai basi Yuko na mishe zake kitaa basi Sawa tulee watoto ambae yatamshinda atanyosha mikono full stop.
Maisha yaka endelea kila mtu Yuko bize na Mimi nipo na stress zangu hapa Kati yapo mengi mengi Tu ok
Back Kwa mshikaji alikua na dhahabu kidogo alienda dar akauza dhahabu akarudi siku iyo akanicheki yupo pub flani ivi nikaenda kuanzia mida ya saa 3 tukapiga stor Sana akaniambia na faida iliopatikana akasema Kwa sasa anatulia Kwanza mjini hapa akawa anaagiza safari baridi anapiga sinywi pombe nikaagiza soda na chips za kutosha nikala piga Sana story mpaka saa Saba ivi Ile pub wkaanza kufunga tukahamia kwingine.
Pale akaanza tena agiza castle mi nikachukua juis,,,,,,,story na mziki taratibu vinaendelea mpaka saa8 usiku akapita demu flani alikua msumbiji mi ndie niliemuona tukamwita jamaa akaanza ongea nae akampanga akale mbususu na ndio kasha zoea maisha ya kule pori chap cha fasta wakaondoka kwenda kusaka gest muda mfupi wakarudi jamaa akasema gest zote zimefungwa akapiga mafundo kazaa ya bia akamchukua demu tena wakaondoka na tayar Alisha mnunulia bia kazaa hapo.
Wakasepa mi nipo zangu alone na Mimi sio muongeaji Sana nipo kimya Tu pale na simu yangu na play games baadae wakarudi jamaa akaniambia amepiga mbususu mpenyoni amemuinamisha Tu amepiga kimoko kiroho akampa elfu 5 demu akulizika na Ile pesa kaja kafula kanuna mbaya ahaa si tukampotezea Tu .
Pale tulikaa mpaka mida ya saa kumi na moja alfajiri mke wa jamaa anapiga simu sio mchezo jamaa akasema mwanangu saiz tusepe inaenda asubuhi hii akazama mfukoni akatoa pesa akaicheki akanipa mwana ya pikipiki iyo ilikua ni shilingi elfu moja nakazia buku dah pale sikuonesha mshtuko Ila Tu lilibaki moyoni na kukesha kwenye ma pub ni kama nilikua namsapoti yeye ananipa buku kudadeki tukaagana kiroho akasepa aisee niliwaza Sana nilijua hii ndio golden day ya kunipa mzigo baada ya kutoka Dar angalau nianze maisha kivingine mjini hapa du buku sikupanda pikipiki nikatembea mdogo mdogo na sikuiz njiani wameweka taa basi mpaka home.
Nikachukua funguo wanapoweka sababu nilibaki nje Mimi nikaingia ndani kulala wife anashtuka ananiambia saizi ndio umeamua kurudi asubuhi nikamwambia ina maana mpaka useme saizi Nimeamua kwani kuna Jambo gani limetokea na kupelekea mi kujiamlia kurudi asubuhi? mpaka useme ivyo je nilikua kazini unajuaje akasema niwekee pesa mezani pale si ulikua kazini nikamwambia je nafanya kazi ya ulinzi mshahara mwisho wa mwezi iyo pesa ya usiku Nimepata wapi we si utaki ata kuniuliza michakato yangu utajuaje?.
Akakaa kimya nikapiga mbonji asubuhi kumekucha akaanza kuongea Mambo yake ya ajabu ajabu kuna kipindi hapa mwishoni baada ya Mambo kuyumba kabla sijarudi ulipita mwez sikutuma pesa akaongelea iyo ishu dahaa nikamwambia siku zote natuma pesa mwishoni Mambo yangu ayakua vizuri nikashindwa kabisa kutuma pesa sasa iyo ndio unaongea ivi Nani ambae Mambo yake muda wote yatakaa Sawa Tu nikamwambia tena si upo bize utajuaje Mambo yangu huwezi elewa ujui nini kimenikuta wakati huo kale Ka pesa nilikobaki nako baada ya kurudi kalishaisha hapo ilikua mwendo wa kuunga ungaa Tu kitaa.
Uyo Mzee nikaingia na mizunguko yangu yule demu aliefika kunifata stend siku iyo akanicheki tukapiga story akasema kamiss gemu nikaona Yaha wife mwenyewe ananizingua Tu akaja mpaka lodge akalipa kila kitu nikachakaza mbususu demu alinimisi Sana alikua na mizuka balaa.
Toka saa kumi tukaja achana saa mbili usiku ivi nikampeleka mpaka kwake nikageuka zangu.
Nimerudi home bado kichwa akijatulia nawaza naingilia wapi na mishe taiti Sana nafanyaje wife akaanza vimaneno vyake na katika kubishana bishana akaja akatoa kauli hii hapo ulipo hata kitu chochote ujawai ni nunulia we mwanaume vipi akaropoka kishenzi nikamwambia unasemaje wewe nilijizuia Sana nilitaka nimchalaze makofi Ila nikaamua kuacha nikamtazama Kwa ghadhabu Sana nikamuuliza hapa juzi vitenge vimetoka msumbiji vya wewe na shangazi je ulinipa ela yako ni nunue?
Akakaa kimya alafu akasema si ndio ivyo Tu.
Nikamwambia ayo madela pesa alitoa Nani Ayo magauni pesa alikupa nan umesahau hizi sendo zilizo humu ndani za msumbiji pesa katoa Nani Ayo makoti
nilimuolozeshea vitu kibao japo aistahili akaona kaingia cha kiume akavuta shuka na kujifunika gubi gubi alinikera sana nikakaa kimya nikavuta shuka na kulala zangu.
Maisha yalisonga jamaa yangu nikimcheki angalau aniwezeshe kauli ni moja subiri Kwanza mwanangu ndio kauli yake ehee nikaona poa Ila wakati huu niliwaza sasa hapa niludi msumbiji kuna washikaji nilishwapanga Mambo yakienda ovyo ntarudi tujumuike tuchimbe waliniambia nisijali we mwanetu njoo Tu tutaungana kutafuta chochote, nikamuelekeza jamaa yangu kama vipi anikopeshe nauli ya kurudi msumbiji hii mesag nilituma ilikua kitu Ka saa 8 usiku nilikua sijalala nawaza kesho yangu.
Asubuhi jamaa alinicheki akasema sikilizia mwanangu usiwe na hofu naweka Mambo fresh tutarudi kupiga mishe tulia Tu sio muda nikamwambia mi nitangulie hapa town mishe Amna akasema Aina haja ya kuwai.
Aha dadadeki mi nahuwawa na maisha nimebanwa unipi sapoti yeyote alafu unasema nitulie Tu nikaona mwanangu ana masihara Sana na nikahisi kama anitakii mema ivi kutokana na ivyo visa.
Nikaendelea kuunga kitaa nikasonga kibishi nikiokoa nanunua mahitaji napeleka home siku zinakwenda na nikipata vijisent vya kutosha kwenye madili huko na nunua mahitaji ya kutosha home.
Kuna jamaa yangu akanipa mchongo nae anapitia life gumu na alishawai fanya kazi pub moja mjini na alikua anachukua pesa nzur na yeye na wife wake kimenyata tena yeye ndio balaha sababu ana mfatilia mno muda wote anahisi kuibiwa Tu kuna siku nilimwambia yanayo endelea kwangu akasema mi mkatili nikamwambia ukiwaza Sana mwanamke utaacha kufanya vitu vya msingi waza mwanao kesho anaishiji we mwenyew utaishi wapi nyumba unayokaa ya Mzee je inakuaje ?! Jamaa atajibu Sawa kesho nasikia nimekuta wife anakunywa pombe nyumbani akumbuki kurudi na wakati huo uyu wife wake alimpatia uko pub.
Basi ule mchongo akanidokeza tukasepa wote siku ya kusepa nika muaga wife naenda sehemu flani kuna Ka job na huko tunasafiri alichojibu yeye ni haya akuuliza kazi gani, na ninakaa muda gani mpaka kurudi au chochote kile juu ya iyo kazi hili nalo lilikua jipya kwangu
sitataja kazi gani ila ni kazi halali,,. kwenda kule Ile tumefika mashine zimeharibika baada ya kama siku tatu ivi zikapona tukaingia mzigoni ng'ombe wa masikini hazai nikaumia mkono huu mkono niliwai vunjika kwenye mpira Aya mandondo nilifunga P.O.P mwezi mzima.
wakati huo napiga center half moja matata Sana Acha ukiniweka kiungo mkabaji
namba 6 pia kiungo mchezeshaji namba 8 pia wingi ya kushoto namba 11
wapo wachezaji niliocheza nao kitaa wapo ligi kuu sasa,,. polisi tz wapo wawili mmoja wao juzi mechi ya (polis vs prison) alipiga kros iliyozaa bao akitokea wingi ya kushoto ,
Kwa wanaofatilia NBC ligi wanamjua alafu ihefu yupo mmoja,,, ruvu shooting wawili,,, jkt ruvu ya daraja la Kwanza mmoja, namungo yupo mmoja,, mbeya city mmoja Ila uyu nilicheza nae prymary na alinizidi madarasa.
Tuendelee mkono kwa muda huu aukuvunjika ni kama Tu ulishtuka lakini ulikua na maumivu Sana nikaugulia pale labda nivute muda wapi auponi ikanilazimu kurudi home siku narudi home nikamwambia wife nimeumia mkono so sijafanya kazi kabisa narudi ivyo niambie funguo utaweka wapi ukitoka maana yule shangazi aliondoka.
Akajibu utaikuta sehemu flani swala la Mimi kuhumia akuulizia labda kimenikuta nini na hata kufatilia kujua wapi akuna.
Nimerudi home nikafunga clip bandage sio ile ngumu p.o.p hapana sio iyo basi nikasonga na mishe zingine.
Asubuhi yake bana baada ya kufika home toka nihumie wife aliniamsha alafu akaniambia naomba hela,,,, nikamwambia yani wewe mtu wa ajabu Sana yawezekana unatamani nife unaulizia pesa
Na sio afya kwanza
ivi Mimi bila afya njema nitatoa wapi pesa?
Ata kunijulia Hali Hali kweli? Alikaa kimya akaondoka sijui aliona kakosea au aibu tu
Basi Nikamcheki yule jamaa yangu kumueleza Hali iliyonikuta akasema Tu pole mwanangu ndio uhanaume huo nikaona hapa nimekutana na chuma chikoli Moto nikapanga mishe zangu alafu kuna jamaa wa kule msumbiji alinicheki kwenye simu tulipangana ntarudi alinicheki nikamwambia naweka ishu fresh nakuja soon Ila saiz niliumia mkono jamaa akunitupa alinitumia pesa flani si haba ambayo ilikimbiza siku
Ilibidi nimalize stor sema nimeugua Sana tumbo na hata kuandika nimejikaza sana
Tukutane kesho.....
Uandishi tuvumiliane
N.B
>>>Wakuu hapo juu machache nimejaribu kueleza japo ayapo kule niliko toka nimeona niguse kidogo sio mbayaMsije sema nimeenda nje ya mada hapana.