IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
- Thread starter
- #81
This time nipo pembezoni mwa jiji la Dar napiga kazHongera IBRA wa PILI , vijana wa Songea ni wapambanaji sana na mmejaa karibia machombo yote ndani ya Tanzania hii. Hukuwahi kufikiria kwenda Tundulu kwenye machombo ya Ruby? Kuna kipindi nilikuwa Chunya kikazi kulikuwa na wangoni wengi Sana kama wachimbaji wadogo wadogo
mkuu mi nilikua na nunua ila sijawai chimba au kuzama mgodini deep no nilikua naona Tu watu wakiingia huko inahitaji moyo hasa ndio maana wengi wao wanatumia bange kuchangamsha akili ni hatari Mzee Acha Tu Maisha haya.