Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 244
Ni heri na Wewe huwa unamaliza Mkuu huna story nusu nusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mkuuHuo ndio uanaume kamanda endeleza mapambano bila kukata tamaa, kisa chako kinatia moyo ktk upambanaji lkn pia ulionyesha uaminifu
ulicheza na tariq simba ? sahivi dhahabu bei gani gram 1princess ariana nimehitimisha
Dhahabu niliacha gram 1 laki Ila ilikua inashuka mpaka 90 kutokana na bei ya soko kuporomoka tariq nimecheza nae na tumesoma wote primaryulicheza na tariq simba ? sahivi dhahabu bei gani gram 1
kama unataka kununua ukauze dar changamoto niniDhahabu niliacha gram 1 laki Ila ilikua inashuka mpaka 90 kutokana na bei ya soko kuporomoka tariq nimecheza nae na tumesoma wote primary
Kwanza unataka ununue kutokea wapi? ni Hapa tz au wapkama unataka kununua ukauze dar changamoto nini
huko msumbiji si ndo nzuri wanasemaKwanza unataka ununue kutokea wapi? ni Hapa tz au wap
Ok changamoto zipo ushuru mkubwa kama mtaji wa kuunga unga Una teterekahuko msumbiji si ndo nzuri wanasema
Asante Sana mkuu ni mapito Tu.Pole Sana bro but bg up kwa kupambana wanaume tunapitia vtu vng vigumu na vya hatari.
One day ntaandika kitu
mtaji kama kuanzia kiasi gani ndo unaona unatosha ? au ndo unaona hailipi ?Ok changamoto zipo ushuru mkubwa kama mtaji wa kuunga unga Una tetereka
Kuna michango ya ghafla iyo utake usitake lazima utoe unaweza ambiwa Tu wanunuzi wa dhahabu 150k inahitajika
Kuna LUPILICHI kila mwezi nao hawa wanakadiria
Nilipokuepo Mim kila mwez unapeleka asilimia ambayo ni laki 3 na hii unawakata wauzaji pindi wanapokuja kuuza dhahabu kwako mfano point 1 ambayo ni ef 10 unakata buku unampa ef 9 hii nayo changamoto kubwa mchimbaji apendi kukatwa na usipo kata itabidi utoe pesa yako ya mtaji upeleke.
Zingne nikikumbuka
Kwa msumbiji kule mkuu Mtaji usipungue 7+ usiwe chini ya hapo zaidi ipande faida utaonamtaji kama kuanzia kiasi gani ndo unaona unatosha ? au ndo unaona hailipi ?
Andika yako uimalizie mnakera sana....Siku hizi ni mwendo wa
Itaendelea tu[emoji28][emoji28][emoji28]