Moja ya kumbukumbu mbaya machimboni nchini Msumbiji. Lakini maisha lazima yaendelee

This time nipo pembezoni mwa jiji la Dar napiga kaz
mkuu mi nilikua na nunua ila sijawai chimba au kuzama mgodini deep no nilikua naona Tu watu wakiingia huko inahitaji moyo hasa ndio maana wengi wao wanatumia bange kuchangamsha akili ni hatari Mzee Acha Tu Maisha haya.
 
Pia sio kwenye migodi tu hadi ziwani mfano ziwa Nyasa, Rukwa na Tanganyika haya ni baadhi ya maziwa niliyowahi kufika kwa shuhuri zangu za kikazi nikawakuta wangoni huko. Kiufupi Wangoni popote pale mnahustle mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…