Moja ya Makada wa CHADEMA ambao wenye mvuto sana kwa jamii katika ulingo wa Siasa ni Boniface Jacob A.K.A Boni Yai remember the name

Moja ya Makada wa CHADEMA ambao wenye mvuto sana kwa jamii katika ulingo wa Siasa ni Boniface Jacob A.K.A Boni Yai remember the name

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari!

Mimi ni Moja ya wafuasi wa kutupwa Kule X nafuatilia sana machapisho ambayo hua anayaweka huyu jamaa
For sure this Man ni threat Kwa serikali jamaa hua hatumii matusi hata kama baazi ya vijana wengine waliko katika Siasa.

Umejiuliza kwanini Boni YAI na sio Martin Maranja?

Martin hua anafanya the same kazi anayofanya Boni ila kuandika matusi ni kawaida kwake so mtu anaetukana ni rahisi sana kupuuzwa na mtu mwerevu au kukosa mvuto Kwa watu so wanaamini kabisa Martin hawez Kua na uungwaji mkono na watu wengii because of his behaviour.

Boni kwa post zake hajawah jibizana na Mwanasiasa yeyote yule na akaweka Matusi.
Kama ashafanya hivo I stand to be corrected.

Jamaa anakosoa sana na kufichua maovu ya serikali na policcm.

Huyu jamaa wa kuitwa BoniYai Ccm na polis ndio wanajua akiwepo tarehe 23 huyu jamaa atakua na Kijiji chake huwez nielewa kama hua unapewa 2K za #

#SIJAOTA MKIA
 
Habari!

Mimi ni Moja ya wafuasi wa kutupwa Kule X nafuatilia sana machapisho ambayo hua anayaweka huyu jamaa
For sure this Man ni threat Kwa serikali jamaa hua hatumii matusi hata kama baazi ya vijana wengine waliko katika Siasa.

Umejiuliza kwanini Boni YAI na sio Martin Maranja?

Martin hua anafanya the same kazi anayofanya Boni ila kuandika matusi ni kawaida kwake so mtu anaetukana ni rahisi sana kupuuzwa na mtu mwerevu au kukosa mvuto Kwa watu so wanaamini kabisa Martin hawez Kua na uungwaji mkono na watu wengii because of his behaviour.

Boni kwa post zake hajawah jibizana na Mwanasiasa yeyote yule na akaweka Matusi.
Kama ashafanya hivo I stand to be corrected.

Jamaa anakosoa sana na kufichua maovu ya serikali na policcm.

Huyu jamaa wa kuitwa BoniYai Ccm na polis ndio wanajua akiwepo tarehe 23 huyu jamaa atakua na Kijiji chake huwez nielewa kama hua unapewa 2K za #

#SIJAOTA MKIA
BONI YAI, iiih hili nalo ni jina isee!
 
Habari!

Mimi ni Moja ya wafuasi wa kutupwa Kule X nafuatilia sana machapisho ambayo hua anayaweka huyu jamaa
For sure this Man ni threat Kwa serikali jamaa hua hatumii matusi hata kama baazi ya vijana wengine waliko katika Siasa.

Umejiuliza kwanini Boni YAI na sio Martin Maranja?

Martin hua anafanya the same kazi anayofanya Boni ila kuandika matusi ni kawaida kwake so mtu anaetukana ni rahisi sana kupuuzwa na mtu mwerevu au kukosa mvuto Kwa watu so wanaamini kabisa Martin hawez Kua na uungwaji mkono na watu wengii because of his behaviour.

Boni kwa post zake hajawah jibizana na Mwanasiasa yeyote yule na akaweka Matusi.
Kama ashafanya hivo I stand to be corrected.

Jamaa anakosoa sana na kufichua maovu ya serikali na policcm.

Huyu jamaa wa kuitwa BoniYai Ccm na polis ndio wanajua akiwepo tarehe 23 huyu jamaa atakua na Kijiji chake huwez nielewa kama hua unapewa 2K za #

#SIJAOTA MKIA
X Huwa hakuna wapiga kura ndio maana mnafeli na wengi wa Wafuasi wa mitandaoni ni wanaharakati.

Wafuasi halisi wa CCM ni Hawa hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAJWqm2tIk1/?igsh=MWtlOGJ1NnQ1c3Z4
 
Habari!

Mimi ni Moja ya wafuasi wa kutupwa Kule X nafuatilia sana machapisho ambayo hua anayaweka huyu jamaa
For sure this Man ni threat Kwa serikali jamaa hua hatumii matusi hata kama baazi ya vijana wengine waliko katika Siasa.

Umejiuliza kwanini Boni YAI na sio Martin Maranja?

Martin hua anafanya the same kazi anayofanya Boni ila kuandika matusi ni kawaida kwake so mtu anaetukana ni rahisi sana kupuuzwa na mtu mwerevu au kukosa mvuto Kwa watu so wanaamini kabisa Martin hawez Kua na uungwaji mkono na watu wengii because of his behaviour.

Boni kwa post zake hajawah jibizana na Mwanasiasa yeyote yule na akaweka Matusi.
Kama ashafanya hivo I stand to be corrected.

Jamaa anakosoa sana na kufichua maovu ya serikali na policcm.

Huyu jamaa wa kuitwa BoniYai Ccm na polis ndio wanajua akiwepo tarehe 23 huyu jamaa atakua na Kijiji chake huwez nielewa kama hua unapewa 2K za #

#SIJAOTA MKIA
Boni Yai ni Kiongozi na ana mvuto kwenye jamii
 
Habari!

Mimi ni Moja ya wafuasi wa kutupwa Kule X nafuatilia sana machapisho ambayo hua anayaweka huyu jamaa
For sure this Man ni threat Kwa serikali jamaa hua hatumii matusi hata kama baazi ya vijana wengine waliko katika Siasa.

Umejiuliza kwanini Boni YAI na sio Martin Maranja?

Martin hua anafanya the same kazi anayofanya Boni ila kuandika matusi ni kawaida kwake so mtu anaetukana ni rahisi sana kupuuzwa na mtu mwerevu au kukosa mvuto Kwa watu so wanaamini kabisa Martin hawez Kua na uungwaji mkono na watu wengii because of his behaviour.

Boni kwa post zake hajawah jibizana na Mwanasiasa yeyote yule na akaweka Matusi.
Kama ashafanya hivo I stand to be corrected.

Jamaa anakosoa sana na kufichua maovu ya serikali na policcm.

Huyu jamaa wa kuitwa BoniYai Ccm na polis ndio wanajua akiwepo tarehe 23 huyu jamaa atakua na Kijiji chake huwez nielewa kama hua unapewa 2K za #

#SIJAOTA MKIA
Good thinking 🤔
 
Jamaa ni kama comedian hiv ila hanaga Ile roho ya kujisikia ndio maana hata akajiita Boni YAI Kwa kufata biashara anayofanya.

Makazi yake yameonekana Hadi polis wanaambizana mhuni kajenga dadeek sisi tupo Kwa kota tu.
Polisi hawa wanaotumwa kututeka na kutuua wanaishi kwenye vibanda vya mabati kama njiwa.
 
Back
Top Bottom