Papaa molinga yanga wamemsema sana.. ila timu kubwa ya zesco imeamua kumsajili..
Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga.
Mimi kama mwanayanga sitawaelewa milele..
Maana Kalinyo yule nahisi tumepigwa.
Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga.
Mimi kama mwanayanga sitawaelewa milele..
Maana Kalinyo yule nahisi tumepigwa.