Naona wote mmeandika kwa mihemuko na sio kiuana michezo. Anyway hata Man Utd walishawahi kumsajili Bebe, Madid wamemsajili Jovic, Barca wakamsajili Braithewaite na kadhalika.
Eti klabu kubwa imemsajili Molinga [emoji23]
Kwani hao uliowataja walizaliwa Yanga! Waende huko wakapambane kivyao!Papaa molinga yanga wamemsema sana.. ila timu kubwa ya zesco imeamua kumsajili..
Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga.
Mimi kama mwanayanga sitawaelewa milele..
Akili za mashabik wa Yangai na viongozi wao zinafanana. kwahiyo mfungaji bora wa Yanga ambaye ndiye kaisaidia Yanga mnamuona hana lolote, lakini Nchimbi anayekimbia kimbia uwanjani bila faida yoyote hata magoli matano hajafikisha mnamuona wa maana.Mimi Kwangu Molinga Hapana Hata Huko Alikoenda Afunge Magoli Mia Ila Hakuna Player Pale.
Mchezaji Hawezi Kukimbia kila offside yeye yumo.
Akili za mashabik wa Yangai na viongozi wao zinafanana. kwahiyo mfungaji bora wa Yanga ambaye ndiye kaisaidia Yanga mnamuona hana lolote, lakini Nchimbi anayekimbia kimbia uwanjani bila faida yoyote hata magoli matano hajafikisha mnamuona wa maana.
Sasa na ww ndio UMEANDIKA NN? Nonsense!Naona wote mmeandika kwa mihemuko na sio kiuana michezo. Anyway hata Man Utd walishawahi kumsajili Bebe, Madid wamemsajili Jovic, Barca wakamsajili Braithewaite na kadhalika.
Eti klabu kubwa imemsajili Molinga [emoji23]
Kama huelewi unaomba msaada kwa maana naelewa humu JF siyo wote ni wazima kiakili kama wewe.Sasa na ww ndio UMEANDIKA NN? Nonsense!
Akili za mashabik wa Yangai na viongozi wao zinafanana. kwahiyo mfungaji bora wa Yanga ambaye ndiye kaisaidia Yanga mnamuona hana lolote, lakini Nchimbi anayekimbia kimbia uwanjani bila faida yoyote hata magoli matano hajafikisha mnamuona wa maana.
Nchimbi, kaseke, hamnakitu kabisa.. molinga ndie katufanya tumepata nafasi ya pili
na usajili wa Kalinyo ule muda utaongea tu
Sikiliza wewe jamaa. Gharama za kumuendesha mchezaji wa nje na ndani ni tofauti na kuliko kumlipa pesa molinga better mtafute mtu atayekupa kitu cha maana kwa pesa ilele.
Molinga usimlinganishe na Nchimbi wala kaseke, mlinganishe na watu waliokuja kumreplace i.e Sarpong.
Next time deal na mambo ya timu yako achana na timu isiyokuhusu.
Mchezaji aliyechukua nafasi yake alifanya tuepuke aibu ya kufungwa na prisons.Tatizo la washabiki hatutaki kuusikia ukweli, na mtu akiongea uhalisia basi ataonekana kuwa ni mtu wa upinzani. Molinga ndiye mchezaji aliyeisaidia Yanga kupata matokeo na kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Mimi sikumlinganisha Molinga na Nchimbi bali nimeshangaa sana kitendo cha kumbakiza Nchimbi ndani ya klabu wakati hakuonesha msaada wowote ule ndani ya Yanga wakati aliyetoa msaada kwa asilimia kadhaa kwa Yanga kaachwa.
Umesema nimlinganishe Molinga na mchezaji wa maana aliyechukua nafasi yake je Unaweza kuniambia mpaka sasa huyo mchezaji aliyechukua nafasi ya Molinga kafanya nini cha maana zaidi?
Lakini pia Nchimbi ana mkataba na Yanga huyo Molinga hakua na mkataba na Yanga (yaani uliisha)Tatizo la washabiki hatutaki kuusikia ukweli, na mtu akiongea uhalisia basi ataonekana kuwa ni mtu wa upinzani. Molinga ndiye mchezaji aliyeisaidia Yanga kupata matokeo na kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Mimi sikumlinganisha Molinga na Nchimbi bali nimeshangaa sana kitendo cha kumbakiza Nchimbi ndani ya klabu wakati hakuonesha msaada wowote ule ndani ya Yanga wakati aliyetoa msaada kwa asilimia kadhaa kwa Yanga kaachwa.
Umesema nimlinganishe Molinga na mchezaji wa maana aliyechukua nafasi yake je Unaweza kuniambia mpaka sasa huyo mchezaji aliyechukua nafasi ya Molinga kafanya nini cha maana zaidi?
kwani Molinga hajawahi kunusuru kupata aibu? Huyo Sarpong hujaona akipiga vishuti vya kitoto vikidakwa kiurahisi tu na kipa? Hujaona akifanya maamuzi ya kupiga vijishuti golini wakati alikuwa na uwezo wa kutoa pasi kwa mwenzie?Mchezaji aliyechukua nafasi yake alifanya tuepuke aibu ya kufungwa na prisons.
Mikimbio yake skills zake kujiamini kwake unaona ana kitu kuliko molinga wako.... Ndio kwanza ana mechi 3 hata huyo molinga hakuanza kufunga alivyofika tu nchini. So relux
kwani Molinga hajawahi kunusuru kupata aibu? Huyo Sarpong hujaona akipiga vishuti vya kitoto vikidakwa kiurahisi tu na kipa? Hujaona akifanya maamuzi ya kupiga vijishuti golini wakati alikuwa na uwezo wa kutoa pasi kwa mwenzie?
Sawa anakitu, ngoja tuendelee kusubiri kukiona hiko kitu.
ila mchezaji ambaye hajafikisha hata mechi 10 na hachezeshwi dk 90 na ana magoli 10 ni mchezaji mzuriKwahyo Molinga alikua anacheza peke yake ?
Mchezaji chance 6 unapata 2 au 1. Wakazi gani