Momba: Mbunge Condester Sichwale ashangaa shule Shikizi ya Mazinge kujaa nyufa hali inayohatarisha usalama wa wanafunzi

Momba: Mbunge Condester Sichwale ashangaa shule Shikizi ya Mazinge kujaa nyufa hali inayohatarisha usalama wa wanafunzi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MOMBA: HALITETE, SHULE SHIKIZI MAZINDE; MBUNGE CONDESTER APIGWA BUTWAA

MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.

Shule shikizi Mazinde iliyopo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilianzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.

Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinaashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kutoamini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.

“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini chakushangaza jengo limeanza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.

Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa Kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa Kta hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.

“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa Halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.

Mwisho
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-09-19 at 10.10.34.mp4
    39.5 MB
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.07(2).jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.07(2).jpeg
    62.7 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.09(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.09(1).jpeg
    32.7 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.09.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.09.jpeg
    63.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.07.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.07.jpeg
    90 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.06.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.06.jpeg
    38.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.10(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-19 at 10.11.10(1).jpeg
    90.8 KB · Views: 1

MOMBA: HALITETE, SHULE SHIKIZI MAZINDE; MBUNGE CONDESTER APIGWA BUTWAA

MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.

Shule shikizi Mazinde iliyopo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilianzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.

Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinaashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kutoamini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.

“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini chakushangaza jengo limeanza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.

Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa Kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa Kta hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.

“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa Halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.

Mwisho
CCM Hoyeee😀
 
MOMBA: HALITETE SHULE SHIKIZI MAZINDE, MBUNGE CONDESTER APINGWA BUTWAA
MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.
Shule shikizi Mazinde ilipo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilinzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.
Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinahashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kuto amini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.
“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini cha kushangaza jengo limenza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.
Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa kata hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.
“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.
Mwisho
 

Attachments

  • pichaaaaa.jpg
    pichaaaaa.jpg
    37.1 KB · Views: 1
Nadhani katika sehemu ya upigaji ujenzi ndo watu wanajipigia sana, unakumbuka
1. Banda la mil 100
2. Kile kijumba cha mlinzi sijui milioni 10
3. Daraja la mbao la milioni 30 morogoro nk,
Stend ya kibaha maili moja sasa wanatindua paving waweke upya. Uwajibikaji na uadabishwaji haupo Tanzania
 
Nimejikuta naimba huu wimbo
WANATUONA NYANI TU.
1. Kulalamika hapa jamiiforum wanakuona.......
2. Kuhujumu miundo mbinu kwao ni haki maana wewe raia wanakuona......
3. Kulalamika kwako hakusaiidii maana wewe ni........
4. Kwani watakusikiliza wewe maana wewe ni.......
 
CAG keshasema Miradi mingi ya pesa za COVID ipo chini ya kiwango labda na huu ni miongoni.
 
MOMBA: HALITETE SHULE SHIKIZI MAZINDE, MBUNGE CONDESTER APINGWA BUTWAA
MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.
Shule shikizi Mazinde ilipo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilinzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.
Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinahashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kuto amini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.
“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini cha kushangaza jengo limenza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.
Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa kata hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.
“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.
Mwisho
Unaandika kama unafukuzwa
 
MOMBA: HALITETE SHULE SHIKIZI MAZINDE, MBUNGE CONDESTER APINGWA BUTWAA
MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.
Shule shikizi Mazinde ilipo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilinzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.
Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinahashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kuto amini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.
“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini cha kushangaza jengo limenza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.
Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa kata hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.
“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.
Mwisho
Asante kwa picha
 
Nadhani katika sehemu ya upigaji ujenzi ndo watu wanajipigia sana, unakumbuka
1. Banda la mil 100
2. Kile kijumba cha mlinzi sijui milioni 10
3. Daraja la mbao la milioni 30 morogoro nk,
Stend ya kibaha maili moja sasa wanatindua paving waweke upya. Uwajibikaji na uadabishwaji haupo Tanzania
CCM Hoyeeee
 
MOMBA: HALITETE SHULE SHIKIZI MAZINDE, MBUNGE CONDESTER APINGWA BUTWAA
MBUNGE wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ameshangazwa kuona shule shikizi Mazinde iliyopo kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa Halmashauri ya Momba iliyojengwa mwaka wa fedha 2022-2023 kwa gharama ya shilingi milioni 40 kujaa nyufa kila sehemu ya kuta hali ambayo inahatarisha usalama kwa wanafunzi.
Shule shikizi Mazinde ilipo umbali wa zaidi ya kilometa tatu kutoka shule mama ya Masanyita ilinzaishwa na wananchi mwaka 2021, kwa lengo la kusogeza huduma ya elimu karibu na wakazi wa eneo hilo.
Licha ya jengo la shule hiyo kuwa na mwaka mmoja tu tangu ujenzi wake kukamilika, imeanza kutoa nyufa ambazo zinahashiria ubovu, hali ambayo imemfanya mbunge huyo kuto amini kama kweli majengo hayo yana mwaka mmoja.
“Haya mambo yanakatisha tamaa, Rais ametupa fedha milioni 40 ili kutusaidia, lakini cha kushangaza jengo limenza kuchoka hata miaka miwili haijaisha, najiuliza hili jengo limesimamiwa na wataalam wa halmashauri kweli” Sichalwe.
Wakizungumzia changamoto hiyo diwani wa kata ya Mpapa Mhe. George Kasonso na mtendaji wa kata hiyo Stanslaus Sinsungwe wamesema tatizo la nyufa kwenye shule hiyo zimesababishwa na ardhi mbaya mahali shule hiyo ilipojengwa.
“Kabla ya ujenzi tuliwashilikisha wananchi wa eneo hili kwamba sehemu hii haifai kujenga shule maana udongo wake ni chepechepe na unatuamisha maji, tukaomba watubadilishie sehemu nyingine yenye mchanga lakini walikataa, kwahiyo kwa ushauri wa Mhandis wa halmashauri tukaamua kuanza kujenga hivyohivyo” Sinsungwe.
Mwisho
Kuna kile kipindi tungeambiwa ni expansion joints na ambaye angebisha angekiona cha mtema kuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom