Mombasa City Bus Terminal..

Some random streets in Mombasa City.
View attachment 1094477
Umewaweza kweli wakenya Leo hadi monkey jenerose katukana matusi baraaa endelea kutuletea mipicha ya Kenya wao hua wanapost passport na kusema wanakuja dar wataonyesha picha za dar cha kushangaza wakija dar wanashindwa kupost picha wala kuleta mrejesho wowote hiyo inaashiria kuwa wameikubali dar kuwa baba lao wakina MK254 wanasema wameishi dar mbona wanashindwa kupost picha za kuiponda dar
 
Bro from the pictures I can predict the type of bus you used, is either Chania, executive, Genesis or Vanga. Those are cheap buses and that's where they stop. It seems your money was not enough to board classic buses like Modern Coast, Tahmeed, Bus car, Mash,Spanish, Dream line, etc. Anyway, what you pay determines what you get.
 
So you flied and didn't see dongo kundu bypass? Anybody getting out of Mombasa must pass there. Or you bus was flying?
 
invest in a camera bro
No the problem is not camera the problem is " li nchi lenu chafu na kusababisha picha ziwe kama chafu linchi linanuka maviii kila pahara ndiyo maana wode Maya alipokuja Tanzania wakenya wakaanza kumwambia camera yake imeimpruvu kuliko aliyokuwa anatumia Nairobi mwenyewe akawaambia camera ni ile ile
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Camera imeimprove.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Camera imeimprove.
Sasa wewe jiulize kama sura yako mbaya inabidi utafute camera ya hali ya juu angalau uimprove mwonekano ndiyo maana Kenya wakatumia 4k drome Kwa ajili ya Nairobi na wakiona picha nzuri za bongo wanaanza kuuliza kama ni drome ya Kenya imetumika
 

Wengi wa hawa hata hawajawahi vuka boda, Ndio maana mkenya aliyesafiri kwenye Barabara za Tz hutamuona akipiga domo kama hawa wa Humu
 
[emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] Hua naskia barabara zao ni classic mbona naona urojo

Ule mji ni Mchafu sana aisee,
Mwaka jana nlienda kikazi sikuweza zunguka mjini, mji unanuka kinoma,
 
Nilishangaa sana kuoana kariakoo ya dar inakaa mitaa ya githurai huku nairobi,nilishtuka sana,ila huwezi ona tukifungua nyuzi huku kuidhalilisha dar,hatuna insecurities,wewe unafika mombasa,unaona umefika paradiso,to project your insecurities unatafuta zile sehemu duni za mombasa ndio ujifariji,pole sana kaka blaza.
 
Kha! Mbona ukaamua kupost negative pekee si unge post na hotel unayokaa .hater!
Halafu hujasema ulienda kufanya nini huko ungebaki huko paradiso yenu kama Mombasa hakukupendezi

Hahahaha, Unataka ukuje mama? This time niko na wife, Hope next time ntakucheki nikija, Nipo maeneo ya Nyali.
 
Hahahaha, Unataka ukuje mama? This time niko na wife, Hope next time ntakucheki nikija, Nipo maeneo ya Nyali.
Usiwe na wasiwasi kaka. Mimi si mzinifu na siwezi haribu ndoa za watu.
Umefanya kosa kubwa sana kuanika ufukara wako hadharani. Hilo basi ndilo ulipanda pamoja na familia? You could have hired a taxi man. Nina wasiwasi uliomba malazi wewewewe hukai kwa hoteli
 
Mji wenyewe wa dar mchafu kupindukia,vijiji vya uswahili kila mahali.mitaa ya maana hapo dar hata haizidi tano......ukitoka oyestar,mikocheni,masaki,mbezi na upanga,huko kwingine ni upuzi mtupu...yaani kitu ya maana hapo dar ni BRT na towers kadhaa,mji hauna mpangilio umetapakaa tu.
 

Hahaha, Kwani nimekwambia ukuje kwa Zinaa? Ni mambo ya Kawaida tu mama,
Hata Hivyo huwa siendekezi marafiki nikienda out na Mke wangu kama hivi, ndio maana nimekwambia kama nikija nitakwambia ukuje tupate walau Tusker,
Halafu tambua Game over ni Ni mtu mwenye nafasi yake, Hawezi fikia kwenye nyumba ya Mkenya,
Pili Familia yangu ni Kitu pekee chenye thamani zaidi kwa Game Over, Kamwe siwezi safiri ikiwa sina bajeti toshelezi kwa ajili ya matumizi.
Tumesafiri kwa Basi (tahmeed)
Halafu sioni hizo Taxi Mombasa, naona Za miguu mitatu tu yaani Bajaji, Actually Mombasa is a very disorganized place av ever travelled, Imagine wakati wote imebidi receptionist atuitie uber kila tukitoka, Thanks walau Mombasa pana Uber hapa mmenifurahisha..
Kuhusu usafiri wa Umma, mabasi yote ya mikoani hapa Mombasa ni Kuukuu kama hilo hapo la Nairobi,
Hata hii hotel tumefikia sio ya Mkenya, Ni mali ya Muzungu. nyie mnachoweza ni Kuzungumza Kingereza pekee.
 
Naona unaelekea Nairobi.

Nikafanye nini huko?
Actually if I was to go, the plan was to Go via Train, SGR until my very beautiful wife declined it as she wasn’t pleased with our stay in Mombasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…