Mombasa City Bus Terminal..

Mombasa City Bus Terminal..

Kenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
A failed state for sure
 
Watu wa Mombasa wanakukaribisha lakini kwa mlivyo na akili za kishetani unawaza utafute wapi pabaya upige picha, Watanzania mnateseka sana.
Mimi juzi nimekua Dar na nikiamua kujaza mabaya niliyokumbana nayo humu ikiwemo kuugua Dengue halafu hospitali zenu zilivyo ovyo hadi ikabidi nihangaike sana, halafu nimekua kwenye kipindi cha mvua pachafu pananuka kishenzi, kuishi Dar ni kuvumilia hata kwa wenye hela zao.
Kuna mengi ya ovyo siwezi hata kuyaandika humu, hambadiliki, labda serikali ikikamilisha kuhamia Dodoma labda Dar patakua afueni.
Weka picha acha kelele za kike
 
Sawa, Ila Kumbuka kibera pekee (slum kubwa zaidi Duniani) inakaliwa na Wakazi milioni Tano unusu, Haani 60% ya wakazi wa Nairobi,
Nyie wengine sijui mmejaa kwenye slums nyingine za Mathare, Huruma, Kalio bangi, Korogocho, Githurai, N.k
Hahahahahah nimeishia kucheka sana aisee


Huyu jamaa anakaa slum ya korogocho nyumba ilijengwa kwa bati toka juu hadi chini .
 
Watu wa Mombasa wanakukaribisha lakini kwa mlivyo na akili za kishetani unawaza utafute wapi pabaya upige picha, Watanzania mnateseka sana.
Mimi juzi nimekua Dar na nikiamua kujaza mabaya niliyokumbana nayo humu ikiwemo kuugua Dengue halafu hospitali zenu zilivyo ovyo hadi ikabidi nihangaike sana, halafu nimekua kwenye kipindi cha mvua pachafu pananuka kishenzi, kuishi Dar ni kuvumilia hata kwa wenye hela zao.
Kuna mengi ya ovyo siwezi hata kuyaandika humu, hambadiliki, labda serikali ikikamilisha kuhamia Dodoma labda Dar patakua afueni.

Dah, Pole sana mkuu, umeugua homa ya Dengue? Umetibiwa wapi ungenistua ningekusaidia.
 
yani umekuja mombasa na leo tayari umesharudi..si wewe umesema uko nyali mbeleni brother...hv umesharegea dar tayari...
bwahahaaa...leo naona hoja imekubana...lete picha za kutoka ferry hadi mwembe...
 
Na wametokwa mapovu kwelikweli, Hadi jenerose Mzalendo amenitukana leo[emoji2][emoji2][emoji2]
kwani brother umepiga picha tatu tu.....vp hukuingia kw hyo mall hapo pembeni angalau hyo shemeji apate kinywaji...

lkn tunataka picha za hyo slum ya mombasa pia...au dhamira lako ilikuwa ni kutafuta mahali penye kidogo pamechapa ndio upost...tupia basi hta za ferry
 
hhhhh...naona ni mbovu km vile tandale...bwahahaa..watanzania yani wako makundi mawili...kuna wale wafuasi wa wasukuma yani wao ni kuisifu serikali na kuiponda kenya..kuna wengine wafuasi sijui wa nani vile..kazi yao ku
iponda serikali na kuisifu kenya...

wakenya wenzangu..ukitaka kujionea tafuta mfuasi wa chadema na wa ccm...yani uanze kuwauliza maswali kuhusu kenya...wa chadema atakusifia kenya na kuichakaza nchi yao vibaya sana..na ccm atakupondea kenya na kuipaisha tanzania kwel...
na si uongo..niko na jamaa wangu wa kutoka moshi anasifu kenya kinoma..kila tukitoka hutoa mfano na kwao...huduma zenu bora sana..mara nn mara kile..


sasa msela wangu kaja na rafiki yake mbongo...tuko ferry pale na gari letu tunasubiria tuvuke wenyewe tunaenda ukunda kula bata...jamaa alipoona watu wanakimbilia ferry ili wawahi,na wengine kusukamana..nakwambia mtu wa watu kapaka hadi wacha..mara ndo manake trump katudharau...wakenya nyinyi si wa staarabu..jamaa tumeuchubua tu tunausikiliza umbea wake
 
This issue of Kenya being a Middle Income Country really pisses Bongolalas... hawaelewi jinsi wao ni LDC ..
Middle income my foot dadadek
FB_IMG_1557086721391.jpeg
 
Dah, Pole sana mkuu, umeugua homa ya Dengue? Umetibiwa wapi ungenistua ningekusaidia.

Asante ila kabla nijue ni Dengue doctor alikua ananipa matibabu ya Malaria, ndio mshikaji fulani akshauri nicheck Dengue, tatizo vituo vyenye vifaa vya kupima ni vichache, nilizunguka sana, hatimaye nikabahatika kufaulu pale Kisutu kuna kituo cha mhindi kinaitwa Ibrahim Haji centre, hapo ndio nilipatikana na Dengue.
Ngoma ikawa kwamba Dengue haina dawa, yaani kunywa maji mengi meza panadol basi, wiki imeisha napitia mtihani wa kijehanamu, pressure ikashuka noma, ila nimepona lakini hiyo homa hapo hatari halafu imezagaa Dar, kwanza maeneo ya Magomeni.
 
Hiyo jamaa hakuwa Mombasa na hizo picha si zake pia. I doubt hata kama ni picha za hii mwaka.
Swali ni hili,picha ni za mombasa au sio za mombasa,kama si za mombasa tuonyeshee city bus terminal ya mombasa
 
Swala la slum nairobi siwezi bisha kaka,lakini ndani yako unajua zina occupy sehemu ndogo sana nairobi.....nairobi western suburbs zina cover almost 60% ya nairobi,toka hapo enda eastlands..hii ni high density area ya middle class..most nairobians live here....bila ushabiki na utoto..mitaa mingi 80% hapo dar ni vijiji tu....ila hali si duni kama kibera.actually mombasa na dar hazina tofauti vile....lakini angalau mombasa imepangika hapo cbd...ile kitu tu dar imepiku mombasa ni glass towers na brt.
Mnashika namba 3 duniani kwa watu wanaoishi kwenye slums hlf unasema 60% ya nairobi middle income!
Screenshot_20190508-150915.jpeg
 
Mombasa has road that Tanzania is yearning to have. No road like this anywhere in Tz.

 
Back
Top Bottom