Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Huwa mnatukana sana mmeshikwa pabaya Leo hahahahahThere are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.
Watz wanapenda Mombasa sana.
Ali kiba ommy dimpoz aslay queen ni hawakauki huko
A failed state for sureKenya hakuna Polisi,
Infact wakenya hamko serious na nchi yenu, Yaani toka Boarder pale Lungalunga hadi unafika Likoni hakuna hata Alama za Barabarani, Leave alone police station, Kibarabara chembamba utadhani kinaenda kwa nyumba ya Wallium Ruto,
Halafu hata pale Imigration kwa Upande wa Kenya hamna hata scarners, Barabara nzima hakuna Weigh-bridges, pale Likoni ferries zinabeba watu na Cargo trucks imagine,
Infact kenya is truly a failed state,
They have barbaric way of lifeWewe bwege nimekuja kwa pesa yangu nimekaa hotelini, Nimekula bata na kurudi sijakaribishwa na Mkenya, hakuna mkenya anayeweza mkaribisha mtu, Nyie somo la ukarimu lishapitaga kushoto, Uncivilized fellas,
Weka picha acha kelele za kikeWatu wa Mombasa wanakukaribisha lakini kwa mlivyo na akili za kishetani unawaza utafute wapi pabaya upige picha, Watanzania mnateseka sana.
Mimi juzi nimekua Dar na nikiamua kujaza mabaya niliyokumbana nayo humu ikiwemo kuugua Dengue halafu hospitali zenu zilivyo ovyo hadi ikabidi nihangaike sana, halafu nimekua kwenye kipindi cha mvua pachafu pananuka kishenzi, kuishi Dar ni kuvumilia hata kwa wenye hela zao.
Kuna mengi ya ovyo siwezi hata kuyaandika humu, hambadiliki, labda serikali ikikamilisha kuhamia Dodoma labda Dar patakua afueni.
Hahahahahah nimeishia kucheka sana aiseeSawa, Ila Kumbuka kibera pekee (slum kubwa zaidi Duniani) inakaliwa na Wakazi milioni Tano unusu, Haani 60% ya wakazi wa Nairobi,
Nyie wengine sijui mmejaa kwenye slums nyingine za Mathare, Huruma, Kalio bangi, Korogocho, Githurai, N.k
Watu wa Mombasa wanakukaribisha lakini kwa mlivyo na akili za kishetani unawaza utafute wapi pabaya upige picha, Watanzania mnateseka sana.
Mimi juzi nimekua Dar na nikiamua kujaza mabaya niliyokumbana nayo humu ikiwemo kuugua Dengue halafu hospitali zenu zilivyo ovyo hadi ikabidi nihangaike sana, halafu nimekua kwenye kipindi cha mvua pachafu pananuka kishenzi, kuishi Dar ni kuvumilia hata kwa wenye hela zao.
Kuna mengi ya ovyo siwezi hata kuyaandika humu, hambadiliki, labda serikali ikikamilisha kuhamia Dodoma labda Dar patakua afueni.
Nilikuwa Tanga siku Moja nikaziona hizo tahmeed ni basi za kawaida sana aisee hazina uzuri wowotePesa zako ni za Chania my friend, you can't afford Tahmeed. In fact Tahmeed is better than all your buses.View attachment 1095083View attachment 1095090
Umewagonga panapo uma..hawa jamaa sifa nyingiNa wametokwa mapovu kwelikweli, Hadi jenerose Mzalendo amenitukana leo[emoji2][emoji2][emoji2]
kwani brother umepiga picha tatu tu.....vp hukuingia kw hyo mall hapo pembeni angalau hyo shemeji apate kinywaji...Na wametokwa mapovu kwelikweli, Hadi jenerose Mzalendo amenitukana leo[emoji2][emoji2][emoji2]
mwambie ndugu yako atupie picha za hapo ferry basi..au aliona aibu ku post view ya bahari..Weka picha acha kelele za kike
Middle income my foot dadadekThis issue of Kenya being a Middle Income Country really pisses Bongolalas... hawaelewi jinsi wao ni LDC ..
Dah, Pole sana mkuu, umeugua homa ya Dengue? Umetibiwa wapi ungenistua ningekusaidia.
Swali ni hili,picha ni za mombasa au sio za mombasa,kama si za mombasa tuonyeshee city bus terminal ya mombasaHiyo jamaa hakuwa Mombasa na hizo picha si zake pia. I doubt hata kama ni picha za hii mwaka.
Mnashika namba 3 duniani kwa watu wanaoishi kwenye slums hlf unasema 60% ya nairobi middle income!Swala la slum nairobi siwezi bisha kaka,lakini ndani yako unajua zina occupy sehemu ndogo sana nairobi.....nairobi western suburbs zina cover almost 60% ya nairobi,toka hapo enda eastlands..hii ni high density area ya middle class..most nairobians live here....bila ushabiki na utoto..mitaa mingi 80% hapo dar ni vijiji tu....ila hali si duni kama kibera.actually mombasa na dar hazina tofauti vile....lakini angalau mombasa imepangika hapo cbd...ile kitu tu dar imepiku mombasa ni glass towers na brt.