Mombasa City Bus Terminal..

Mimi mpaka leo huwa sielewagi inakuwa vp wakenya wanatangazwa wana uchumi wa juu kuloko sisi while tunawapita kwa karibia kila kitu
 
mgagaa..hemu nipe link ya hao jamaa wa hyo list nikajosomee..au ni hyo screenshot..manake kw mipasho tu hamjambo...
au nao pia wame copy paste za WB alafu wakachanganya na akili zao
 
Pole brother
 
duh...huyu jamaa muongo kwel...kwhyo picha ya executive hyo michuma hamna...na kuna drainage...bwahahaa...i was there yesterday katika mizunguko yangu...jamaa kumbe lirongo...limetoa picha mitandaoni sijui za lini..leo km nitapitia nitapiga picha...lazima nikuumbue na longo longo zako
 
Uwiiii THANK YOU!
I was there once nikasema hii ndo Mombasa niliyokuwa natamani sana kwenda au kuna nyingine

Acha tu mkuu,
Hawa ndugu wana kelele mobu halafu ukienda Kwa Grounds hamna kitu, Nimeshangaa sana pia
 
Kenya most towns ni magofu..!! Kuchafu and mijengo ya old sana.. Watu sura mbaya, usafi hakuna..!!
 
Huna lolote dengue umetoka nayo kibera slum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…