Mombasa City Gallery

Mombasa City Gallery

d7efd3731ed8452289f1e94df6ed05a9.jpeg
1228687f2ec195ac2f9bde9acf49efaa.jpeg
109b3d49f303bf0c12e69ba7ffe5aca1.jpeg
9efcb0a3bd5ec81738d42e4a63155327.jpeg
c0fda72083e3bf42bb0a0e02009709cf.jpeg
071f9f6b98b3a3906ef6e5d6befdabc7.jpeg
317fe936a5bde97e9248e20c0d8531fb.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuja na tukakaa siku mbili. Nilimwambia mbongo mmoja humu kwamba tz is a beautiful country but developmentwise mpo nyuma japo mnakimbiza Kenya
Ulifikia wapi...tupe uzoefu wako wa hizo siku mbili..hata ivyo mwaka huu ntazuru Kenya Ni kipindi gani kizuri cha kufika uko,sipendi baridi kali..natazamia kufika NBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifikia wapi...tupe uzoefu wako wa hizo siku mbili..hata ivyo mwaka huu ntazuru Kenya Ni kipindi gani kizuri cha kufika uko,sipendi baridi kali..natazamia kufika NBO

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu Kenya. Kama hupendi baridi basi zuru Mombasa.
BTW nimeona mtz mwingine huu mwaka mpya huko mashinani na gari la kifahari. Mahala sikutarajia kuona mtanzania yeyote
 
Ulifikia wapi...tupe uzoefu wako wa hizo siku mbili..hata ivyo mwaka huu ntazuru Kenya Ni kipindi gani kizuri cha kufika uko,sipendi baridi kali..natazamia kufika NBO

Sent using Jamii Forums mobile app
January, February , November and December,hata mimi nilikua dar,kitu ambacho nimefurahia tz ni nauli ipo chini Sana ,tz400 , lakini makaazi yapo chini Sana ,ukitoa upanga , kijitonyama, mikocheni hata mbezi inahitaji facelift ya nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawasawa...karibu tena Bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua dar Kwa siku kumi nikifanya sampling, CBD kidogo mnajaribu ,jamii forum ndio imefanya nikaenda tz ,mwezi wa tatu nitakuja Niko na washikaji zangu wengi huko lazima nije,,,,ebu niulize mbona kuna idara ya uhamiaji ya Zanzibar pale Azam see link , Tanzania bara na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua dar Kwa siku kumi nikifanya sampling, CBD kidogo mnajaribu ,jamii forum ndio imefanya nikaenda tz ,mwezi wa tatu nitakuja Niko na washikaji zangu wengi huko lazima nije,,,,ebu niulize mbona kuna idara ya uhamiaji ya Zanzibar pale Azam see link , Tanzania bara na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar ni Tanzania visiwani,sijafika Zanzibar siwezi kujibu swali ya pili!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom