DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari nyeti za hii nchi zinavuja Sana.....

Something is not right..
 
Ajaye atatokea Unguja
Si kweli, nasikia Steve Nyerere yuko anaandaliwa kuwa Mkurugenzi ajaye kwa uhodari wake wa kurekodi mazungumzo nyeti na washikaji zake haswa mijimama ya mjini kama Mama Wema Sepetu na baadhi ya wabunge kina Mama kisha anakwenda kuuza siri zao mitaani kwa washikaji.
 
Mkuu mbona unaandika kwa jazba?

Inaumiza kuona Watanzania wasivyojua mambo ya nchi hii. Wanadhani Usalama wa Taifa wana mandate ya kuzuia wizi au kutapanya mali ya umma au kwamba bosi wao Ikulu huwa hapendi wizi au kutapanya, waste and abuse.

Kiongozi anakusanya kodi zenu kuzichoma kwa kuwapandisha kina Steve Nyerere kwenye first class flights kuzunguka dunia, anajali ubadhilifu wa mali ya umma ?????
 
Sasa kumbe nimeelewa mzee una uchungu kama sisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…