DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mzee wa maono naona umechemka. Nilikuambia huwa unajifanya una unabashiri wa ndani, lakini kiukweli huna bali huna unabashiri kila jambo ili likitokea useme ulisema. Haya huyu ana za ndani huko ww huna.
 
Unasemaje kuhusu uteuzi huu na koment yako hii
 
Ww ndo ulivujisha unadhani hatukujui 🤣🤣🤣
 
Huyu maza Kila mara anaivuruga vuruga tu hii taasisi Kuna shida Gani?Kwamba uchumi umeharibika?lakini si kaharibu yeye mwenyewe Kwa kulazimisha wajomba zake waarabu wamiliki njia kuu za vitega uchumi tz.idara inageuzwa geuzwa kama karanga za kukaangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…