DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Utawala wa Samia hauna siri, yaani unaweza kujua kesho nini Samia atafanya.

Imagine watu walisema kule twitter tena watu wa hovyo tu kwamba Kidata anaondolewa, kweli wiki 2 mbele akaondolewa.

Huyu jamaa alisema wiki 3 zilziopita kwamba Mombo anateuliwa kua mkuu TISS, leo kweli anateuliwa.

Hii nchi siri hakuna tena.
 
Mwanamke na siri wapi na wapi?
 
Mzee mwenzangu bado unaiogopa system? Ahhaa bwana..
 
Kuna mahala kuna bonge la tundu watu wanavujisha habari kupitia tundu hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…